Hivi sasa jambo linalopigiwa kelele ni Katiba mpya. Binafsi ninaona kwamba hili suala ni la kisiasa zaidi na si la msingi kama kupambana na kuondoa umasikini, ujinga, ukosefu wa umeme, maji na huduma za afya. Hivyo ninaomba wanasiasa wajikite kutafuta umasikini na njaa walizonazo wananchi.