PostGE2025 Watanzania hatuwataki CCM na Rais Samia

PostGE2025 Watanzania hatuwataki CCM na Rais Samia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

canular

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2018
Posts
1,068
Reaction score
1,268
CCM, Samia na wahuni wote watanzania tumewakataa hatuwataki

Mnataka watanzania tufanye nini ili msikie kwamba hatuwataki tuachieni taifa letu hamna cha kutudangaya watanzania sasa hivi tumejitambua

Samia achia nchi yetu hatukutaki, hatuwapendi, hatujawachagua tokeni msituletee machafuko kwa roho zenu mbaya za chuki wivu na kiburi

Badala ya kutumia akili kuliongoza taifa mnatumia mabavu na bunduki, watanzania hatutaki kuongozwa na wasiojitambua.
 
ccm na samia na wahuni wote watanzania tumewakataa hatuwataki mnataka watanzania tufanye nini ili msikie kwamba hatuwataki tuachieni taifa letu hamna cha kutudangaya watanzania sasa hivi tumejitambua samia achia nchi yetu Hatukutaki hatuwapendi hatuja wachagua tokeni msituletee machafuko kwa roho zenu mbaya za chuki wivu na kiburi nyie ni mapumbavu badala ya kutumia akili kuliongoza taifa mnatumia mabavu na bunduki watanzania hatutaki kuongozwa na wapumbavu wasio jitambua
Yani sijui wanang'ang'ania Nini?!
 
Inatia hasira sana kuona mtu mmoja bado anang'ang'ania madaraka licha kuharibu hivi, yote hii ni kwa sababu tu ya maslahi ya familia yake na ya boss wake mstaafu basi.
 
CCM, Samia na wahuni wote watanzania tumewakataa hatuwataki

Mnataka watanzania tufanye nini ili msikie kwamba hatuwataki tuachieni taifa letu hamna cha kutudangaya watanzania sasa hivi tumejitambua

Samia achia nchi yetu hatukutaki, hatuwapendi, hatujawachagua tokeni msituletee machafuko kwa roho zenu mbaya za chuki wivu na kiburi

Badala ya kutumia akili kuliongoza taifa mnatumia mabavu na bunduki, watanzania hatutaki kuongozwa na wasiojitambua.
Mimi ccm naitaka samuya simtaki
 
CCM, Samia na wahuni wote watanzania tumewakataa hatuwataki

Mnataka watanzania tufanye nini ili msikie kwamba hatuwataki tuachieni taifa letu hamna cha kutudangaya watanzania sasa hivi tumejitambua

Samia achia nchi yetu hatukutaki, hatuwapendi, hatujawachagua tokeni msituletee machafuko kwa roho zenu mbaya za chuki wivu na kiburi

Badala ya kutumia akili kuliongoza taifa mnatumia mabavu na bunduki, watanzania hatutaki kuongozwa na wasiojitambua.
Wamesema eti hawatoki mpaka wakatwe vichwa
 
Kutomtaka kwenu nyie watanzania wa TEC sio kesi, sisi wengine tunamtaka vizuri tu. Jaribuni kumtoa muone.
 
Back
Top Bottom