Kama unaamini umaskini ulionao umeletwa na chama una fikra nyembamba. Hao matajiri waliopo wamefanikiwaje?ACT waungane na CDM visiwani na Kusini waachiwe ACT bara yote waachiwe CDM hili kupata ushindi ndio njia sahihi ya kumuondosha mdudu huyu aletae umasikini.
We kula kulala utajuaje ugumu wa maisha wapitiao watz,kajitegemeeKama unaamini umaskini ulionao umeletwa na chama una fikra nyembamba. Hao matajiri waliopo wamefanikiwaje?
Sera mbovu uleta umasikini kwa watu,Kama unaamini umaskini ulionao umeletwa na chama una fikra nyembamba. Hao matajiri waliopo wamefanikiwaje?
Mami NalimisonWATANZANIA CHAGUENI LISU au MEMBE KUWAONGOZA 2020-2025 KWA MASLAHI YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
MAGUFULI yeye ana Serikali binafsi isiyo ya WATANZANIA (SERIKALI YA MAGUFULI), hatuwezi kuongozwa na Serikali ya Mtu binafsi, tunataka
MUMAFI iunde SERIKALI YA WATANZANIA nasio Serikali ya Mtu binafsi. Don Nalimison nawasilisha.
View attachment 1527712View attachment 1527713
Nakumbuka zile post zako za kipumbavu fb zilizopelekea ukala mvua. Nashangaa hakimu aliyekuhumu kama yupo sawa. Maana huwezi kumfunga mtu ambae ni insane.WATANZANIA CHAGUENI LISU au MEMBE KUWAONGOZA 2020-2025 KWA MASLAHI YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
MAGUFULI yeye ana Serikali binafsi isiyo ya WATANZANIA (SERIKALI YA MAGUFULI), hatuwezi kuongozwa na Serikali ya Mtu binafsi, tunataka
MUMAFI iunde SERIKALI YA WATANZANIA nasio Serikali ya Mtu binafsi. Don Nalimison nawasilisha.
View attachment 1527712View attachment 1527713
Sera zako wewe mwenyewe ndio mbovu, hakuna tatizo la Sera. JPM ni jembe chapakazi ametekeleza na tunampa tena nafasi.Sera mbovu uleta umasikini kwa watu,
kula kulala ujui chochote kuhus = uchumiSera zako wewe mwenyewe ndio mbovu, hakuna tatizo la Sera. JPM ni jembe chapakazi ametekeleza na tunampa tena nafasi.
akishughulikiwa tajiri anayeumia ni masikini kwa kukosa ajira,alipoingilia zao la korosho wakulima ndo wameathirika,alipomshughulikia Manji zao la mbaazi likakosa soko,alipofunga burea de change ajira zimekosekana,wenye malori yao walipoyahamishia zambia,congo na nchi jirani madereva gereji zimekosa kazi.Wenzetu huwa awaokoti yeyeto tu na kumpa leseni ya udereva ili asiuwe uchumi.Sera zako wewe mwenyewe ndio mbovu, hakuna tatizo la Sera. JPM ni jembe chapakazi ametekeleza na tunampa tena nafasi.
Huu ni Ukweli mtupu.
Magu hafai.WATANZANIA CHAGUENI LISU au MEMBE KUWAONGOZA 2020-2025 KWA MASLAHI YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
MAGUFULI yeye ana Serikali binafsi isiyo ya WATANZANIA (SERIKALI YA MAGUFULI), hatuwezi kuongozwa na Serikali ya Mtu binafsi, tunataka
MUMAFI iunde SERIKALI YA WATANZANIA nasio Serikali ya Mtu binafsi. Don Nalimison nawasilisha.
View attachment 1527712View attachment 1527713
Wewe unajua zaidi. Naapa kamwe Raisi wa kuongoza nchi hii hatatoka upinzani. Haita simama bendera ya chama kingine kamwe. Jikiteni kujenga chama kiwe imara na madhubuti bado hatujawaamini kiasi cha kuwapa dhamana kubwa kiasi hicho.kula kulala ujui chochote kuhus = uchumi
Gharama zake zitalipwa kwa pingamiziHivi gharama za kutibu mtu pale Mirembe Hospital Dodoma ni shilingi ngapi za Kitanzania?
zambia,malawi,kenya nk nao walisema hivo hivo kimazoea.huki sio kizazi cha zidumu fikra za mwalimuWewe unajua zaidi. Naapa kamwe Raisi wa kuongoza nchi hii hatatoka upinzani. Haita simama bendera ya chama kingine kamwe. Jikiteni kujenga chama kiwe imara na madhubuti bado hatujawaamini kiasi cha kuwapa dhamana kubwa kiasi hicho.
nchi sio chama bali ni katiba yeyeto anayo equal chance ya kuaminiwa na hakuna chama chenye hatimliki na nchi hayo ni mawazo mgando,watz wa leo sio wa janaWewe unajua zaidi. Naapa kamwe Raisi wa kuongoza nchi hii hatatoka upinzani. Haita simama bendera ya chama kingine kamwe. Jikiteni kujenga chama kiwe imara na madhubuti bado hatujawaamini kiasi cha kuwapa dhamana kubwa kiasi hicho.