Watanzania alieturoga kashakufa

Watanzania alieturoga kashakufa

TURUFUDUME

Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
70
Reaction score
39
Ama kweli watanzania alieturoga sasa ni marehemu na alituroga kwa mzizi mkavu, baada ya watanzania kulalamika sana kupanda kwa dola dhidi ya shilingi yao, serekali sikivu ya ccm ikajuwa km afae kwa shira huna haja ya kumpa sumu, ndipo walipo amuwa kuja porojo la msururu wa watngazania mpaka wanafunzi wa sekondari wanautaka urais hivo chama kimewaruhusu kutangaza nia, jambo lililopelekea watanzania wote kusahau kuhusu kuporomoka kwa shilingi yao dhidi ya dola ya Obama, hata thredi zilizokuwa zinalalamikia kuhusu dola hapa jf pia zimeptea zimebaki za ndege ya member kugongana na ndege ya abiria, mara Carina ya makongoro imepata ajali, mara wasira kasema hivi mara muhongo anataka kupeleka kila nyumba bomba la gesi na maji .ili mradi disko limengia mmasai. KWELI KUIONGOZA TANZANIA NI KAZI RAHISI KULIKO KULA ICKREM YA AZAM.
 
Wabongo tuna asili ya uoga na kuto kuwa na uthubutu
 
Ama kweli watanzania alieturoga sasa ni marehemu na alituroga kwa mzizi mkavu, baada ya watanzania kulalamika sana kupanda kwa dola dhidi ya shilingi yao, serekali sikivu ya ccm ikajuwa km afae kwa shira huna haja ya kumpa sumu, ndipo walipo amuwa kuja porojo la msururu wa watngazania mpaka wanafunzi wa sekondari wanautaka urais hivo chama kimewaruhusu kutangaza nia, jambo lililopelekea watanzania wote kusahau kuhusu kuporomoka kwa shilingi yao dhidi ya dola ya Obama, hata thredi zilizokuwa zinalalamikia kuhusu dola hapa jf pia zimeptea zimebaki za ndege ya member kugongana na ndege ya abiria, mara Carina ya makongoro imepata ajali, mara wasira kasema hivi mara muhongo anataka kupeleka kila nyumba bomba la gesi na maji .ili mradi disko limengia mmasai. KWELI KUIONGOZA TANZANIA NI KAZI RAHISI KULIKO KULA ICKREM YA AZAM.
ICKREM mmmm
 
Watanzania Tunaangamia Kwa Kukosa Maarifa Ya Kupambanua Ukweli Ndani Ya Uongo Wa Watangaza Nia Za Urais.. Tutaendelea kuwa Kichwa Cha Mwendawazimu.. Kuchezewa Na Wanasiasa Waganga Tumbo..
 
Tanzania kuna jambo tumemkosea muumba sio bure...coz mujitu tumekuwa kama misukule hiv
 
Aisee wataroga wote lakini mimi nitakomaa nao mpaka siku ya kufa. Mpaka kieleweke!!!
 
Back
Top Bottom