Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Kwa sasa ndo naamini kuwa picha za mitandaoni sio kabisa hata kwenye tv napo wanadanganya,ukweli haikuwa hivi na nilikuwepo eneo hilo kumsikiliza Magufulu.Huu utaalam wa kuongeza watu katika eneo sijui inafanyika vip ningependa nijifunze pia.
ungesimama kwajuu,na wewe ungeona kama hiyo camera ilivyonasa.....
hata hivyo usife moyo sana,hata kama lowasa atashindwa sio mwisho wa dunia