Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,232
- 609
Nadiriki kusema hilo suala ni la kweli.
...SALAAAM......
Wakuu kuna rafiki yangu nafanya nae kazi hapa ofisini...mkewe kajifungua mtoto wa kiume
Sasa anasema kwa mila za kwao ni mkosi kwenda kumuangalia mtoto
bila ya hela, eti kwa kuwa utamtia mtoto mikosi
anasema at least hata elfu tano tu umshikishe mtoto mkononi.....
JE WATANI ZANGU WACHAGA NI KWELI HIII MILA IPO...AU FIX TU....???