KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,889
- Thread starter
- #21
na utaendaje kumuona mtoto bila zawadi?
kwani zawadi lazima iwe hela tu....tena anaweka na kima kabisa....duh.....
na utaendaje kumuona mtoto bila zawadi?
Ni ukweli wenye FIX ndani yake....
ni kweli unatakaje sasa
Ajaribu kumdondoshea sakafuni sh mia moja' na aone kama atalia au atacheka!...SALAAAM......
Wakuu kuna rafiki yangu nafanya nae kazi hapa ofisini...mkewe kajifungua mtoto wa kiume
Sasa anasema kwa mila za kwao ni mkosi kwenda kumuangalia mtoto
bila ya hela, eti kwa kuwa utamtia mtoto mikosi
anasema at least hata elfu tano tu umshikishe mtoto mkononi.....
JE WATANI ZANGU WACHAGA NI KWELI HIII MILA IPO...AU FIX TU....???
...SALAAAM......
Wakuu kuna rafiki yangu nafanya nae kazi hapa ofisini...mkewe kajifungua mtoto wa kiume
Sasa anasema kwa mila za kwao ni mkosi kwenda kumuangalia mtoto
bila ya hela, eti kwa kuwa utamtia mtoto mikosi
anasema at least hata elfu tano tu umshikishe mtoto mkononi.....
JE WATANI ZANGU WACHAGA NI KWELI HIII MILA IPO...AU FIX TU....???
Chagga King, Mkuu rombo Tunaomba ufafanuzi zaidi.
...ki mila hili suala halipo, lakini limejengeka sana katika mazoea, na siyo kwa wachaga tu maana mimi nimeliona sehemu nyingi tofauti na uchagani.
kama huna hela inabidi uende na jani la mgomba
Kwa maana hiyo hawa matapeli na wezi wa kichagga ambao ni wengi mno wamekuwa na mikosi sababu hawajawahi kushikishwa pesa walipozaliwa au?
Hii thread inaelekea kubaya...
Hebu ntajie hizo sehemu kuu nne za wachagga na tofauti ya mila zao. Kwa uelewa wangu huwa wanatofautiana lugha tu lakini mila ni zilezile na mbege ni ileile.