Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Mimi nimetoa hisia zangu binafsi kuhusiana na kula nyama ya mbwa. Wewe unaleta malumbano, siyataki mie! Wanaokula mbwa waendelee, wala nyoka waendelee, wala kitimoto waendelee ila mie kwa mbwa aka babu!Hivi nyoka, 'ngu....' na mbwa ni kipi kinaleta kichefuchefu zaidi...