Watangazaji wa idhaa za Kiswahili wa BBC, VOF na DW shame in you!

Angalia CNN International, BBC World na DW Internatinal, lakini sio idhaa hizi za kiswahili vya akina Zuhra Yunus, Mery Mgawe, Salim Kikeke na wengineo. Hayo yote ni majasusi tu hayo. Wewe unafikiri mzungu ana usamalia gani mwema wa kutuwekea sisi idha za kiswahili bure? Mzungu sio mjinga kiasi hicho. Kuta kuwa kuna kitu anakusudia.

Ebu jaribu mwenyewe kutumia akili yako. Wazungu mda wote kwenye mazungumzo yao ya ndani na ya nje katika familia na kadhali kila mara wanapendelea kusema maneno kama; waafrika ni masikini, Afrika kuna njaa na hatuwezi kujilisha sisi wenyewe, hatujui kusoma na kuandika, tuna magonjwa na ni wachafu, tunanuka na hatujui hiki wala kile. Haya sio maneno tu bali ni tabia ambayo wamezaliwa nayo. Wana amini hivyo kuwa sisi kweli ni masokwe na hatuwezi kitu aidha unataka au hutaki kusikia hayo!

Kwa hili naomba nikupe mfano; kuna siku mimi na mke wangu mzungu wakati tuko vijana bado, tulikaa sebuleni na mtoto wetu wa miaka matatu, kama ilivyo kawaida ya wazungu kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV au nyie wenyewe siku hizi mnaziita Runinga. Kuna scene moja kwenye hicho kipindi sokwe mkubwa yanatokea kweye screen. Mke wangu bila kufikiri akanyosha kidole kuelekea TV na kuniuliza mimi kwa sauti kubwa "Maneno unafanya nini kwenye TV?" Any way, sikuchukulia maanani sana kwa action hiyo. Niliona wife a anafanya utani na tukacheka kwa pamoja.

Baada ya mda tukio kama hilo lilitokea tena. Na mtoto wangu wa akawa wa kwanza kumwambia mama yake angalie kwenye Runinga na hapo hapo akamwuuliza mama yake, nina quote; "Mami mami guck mal im Fernsehen ... Was macht der Papa denn dar? Akimaanisha "Mama mama angalia kwenye Runinga... Baba ana fanya nini humo? Mimi na wife tulibaki kuangaliana tu. Lakini mesage was sent. Mtoto wangu ambaye hata mwenyewe hakuwa mweupe sana kama wazungu walivyo, aliniona mimi mtu mweusi ni sokwe.

Nilimwambia wife awe careful! Asifanye tena vitu kama hivyo. Kwa hiyo utaona vitu kama hivi hutokea mara kwa mara kwa wazungu. Sasa unafikiri mtoto anaye kua katika mazingira kama haya atawa-respect watu weusi kweli? Sidhani!
Naomba angalilia hii clip ya

Tukirudi kwenye mada, sasa kama sisi ni masikini na hatuwezi kusoma na kuandika inakuwaje tena wanatumia gharamia kubwa kuturushia sisi matangazo kwa lugha yetu bure? Wanafaidika na nini?

Nikuulize wewe mwenyewe kama unaweza kupoteza hela nyingi kumsomesha mtoto ambaye hawezi kusoma? Au unaweza ukampigia mbuzi Gita akakusikiliza? Ukiweza pata majibu ya maswali yangu hayo ndipo hapo utagundua mchezo wanao ucheza wazungu kwetu wa kutu manipulate sisi tusiwe na mawazo ya kuangalia au kusikiliza ya kwetu bali ni yao tu. Yakwetu wakiyarusha ni yale mabaya ya kutu discourage sisi. Lakini yote yanayo toka kwao ni mazuri.

Umesha msikia Zuhra Yunus au Salim Kikeke siku ameelezea mambo mabaya ya UK au ya Waziri wao kichaa Boris Johnson? Thubutu! Wajaribu kufanya hivyo kama hujawaona wakitoweka kwenye jukwaa la utangazaji.

Hata kwenye mitandao yao huko Ulaya, hasa hasa wajerumani, wakiwa wanazungumzia maswala yanayo husu waafrika utawaona watu wanaojiita ma-expertise wa Afrka kibao, ambao ni wenyewe, humwoni mwafrika hata mmoja. Unajua kwa nini? Kwa sababu wao wanataka kuwajaza watu wao uwongo wa Afrika, hawata ruhusu msemaji wa kiafrika ambaye ataeleza ukweli na kukosoa au kuweka bayana matendo yao ya unafiki.
BBC World kidogo wanajitahidi latika baadhi ya vipindi, japokuwa sio sana.

Hii miradi yetu ya SGR na Stieglers Gorge kwa mfano, sijawahi sikia kwenye TV za wajerumani wakatoa habari yeyote yakinifu jinsi miradi hiyo inavyoendelea. Nachokumbuka tu ni mwaka juzi kabla ya mradi wa Umeme kuanzishwa, wali debate kidogo kwenye Bunge lao na wakatoa kwenye TV zao kama News na baada ya hapo husikii kutoa chochote kutoka Tanzania, Isipo kuwa mambo ya Makonda na Mashoga, hiyo ilikuwa Story kubwa kwao.

Mambo ya utwala bora wa Rais Magufuli au kudhibiti Rushwa hiyo huwezi kabisaa kusikia wakizungumzia. Habari kamanhii ita divert perception yao ya kuwa Afrika ni rushwa tu. Bila rushwa hakuna kinaendelea.
Hawawezi wakasifu juhudi na jitihada za Rais Magufuli za kuleta maendeleo kwa wananchi wake. Hiyo sahau. Wanajaribu kuzuia kila kitu kizuri kinacho husu Afrika!

Sent using Jamii Forums mobile app
Inferiority complex inakutafuna, unawaonea gere watangazaji wa BBC kwa vile wao wanafanya blue collar jobs. Endelea kupiga box. Halafu hujielewi na psychologically Ile give up. Yaani mkeo akufananishe na Chimpanzee/ Gorilla bado unamchekea.? Halafu eti unatuandikia humu ujinga wako. Pumbaf kabisa wewe,mwanaume rijali wa kiukweli angechukua hatua hata ya divorce kama kupiga ni kosa la jinai. Yaani unadhalishwa unafurahi? Sijui unatoka sehemu gani ya Tanzania?. Ila siyo Mara, Mbeya wala Arusha. Wewe waweza kuwa unatoka Dodoma tu
 
Inferiority complex inakutafuna, unawaonea gere watangazaji wa BBC kwa vile wao wanafanya blue collar jobs. Endelea kupiga box. Halafu hujielewi na psychologically Ile give up. Yaani mkeo akufananishe na Chimpanzee/ Gorilla bado unamchekea.? Halafu eti unatuandikia humu ujinga wako. Pumbaf kabisa wewe,mwanaume rijali wa kiukweli angechukua hatua hata ya divorce kama kupiga ni kosa la jinai. Yaani unadhalishwa unafurahi? Sijui unatoka sehemu gani ya Tanzania?. Ila siyo Mara, Mbeya wala Arusha. Wewe waweza kuwa unatoka Dodoma tu
Sasa mkuu povu la nini tena? Nimpige au ni-divorce kwa mzungu wakati nataka makaratasi ya kubeba mabox? Wewe kweli uko salama akilini? Unafikiri tuko misituni huko? Wengine wanajitupa kwa hiari yao wenyewe kwenye maji ya Mediterranean See ili wapate nafasi ya kuja kubeba mabox, lakini wewe unataka mimi nitumie njia za kisokwe kumpiga mzungu ili niwe mwanamme? Tafadhali tuheshimiane!

Nyie si ndiyo watu ambao mnayapigia debe mambo ya haki za binadam? Inakuwaje leo mimi nionekane sio mwanamme na mpumbvu?

Kama wewe una maisha mazuri basi mshukuru mungu wako. Sisi tusio na uwezo huo sio rahisi kutenda vitendo hivyo. Ila tu sijaelewa kwa nini watu kama nyie mnakuwa ndumi la kuwili, upande mmoja mnaitetea na kuishabikia mitandao ya kigeni inayo waharibu akili na upande mwingine mnataka kuwa ndiyo watu ambao ni rijali.

Kushabikia timu za mpira za league ya uingereza nako ni ufilauni wa kupindukia. Mimi kwetu sina barabara narukaruka kwenye vumbi kama nyani kisa Chelsea imeshinda! Kama sio ujinga ni nini tena?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitu vingapi ulihaidiwa na serikali za awamu ya tatu na ya nne kutekelezwa na havikutekelezwa. Ulikuwa wapi kulaumu? Mbona hukusikika?



Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwepo na nililaumu sana. Mfano nililaumu awamu ya nne kwa Waziri wake kununua Boat Bagamoyo na ikiwa mbovu na mpaka sasa hatujui awamu ya tano imeipeleka wapi na Waziri aliyeinunua ni Rais wa awamu ya tano.
Nililaumu kukamatwa samaki wa wachina katika awamu ya nne na Waziri wa wakati huo na tukaingizwa hasara na hatujaona Rais huyu akimkamata Waziri huyo etc
 
Jana Rais Magufuli Jembe letu la Tanazania kutoka Chato ameshuhudia historia kubwa ya kutia saini ya mkataba wa makubaliano kati ya Tanzania na Barrick Gold wa kuendesha kampuni ya pamoja ya kuchimba dhahabu nchini, TWIGA MINERALS COOPERATION.

Na juzi tarehe 23 mwezi huu Rais Magufuli amevunja recorde katika Afrika ya kuyafanya mashirika na Taasisi zote za Umma kwa mara ya kwanza kutoa gawiwo serikalini. Hiyo nayo kwenu sio historical sensation.

Lakini nyinyi kwa kuogopa kupoteza kazi zenu mmeamua habari hizo kuzikaushia kwasababu zitampa Rais Magufuli ambaye kwa wengine wenu ni Rais wa nchi mliyotoka umaarufu na hivyo kuondoa kusudio la mabeberu wenu la njama zake za kuendelea kuliangamiza bara la Afrika kwa Propaganda zake ambazo nyie vibaraka wao mnazitoa lila siku ya mungu. Nyie mko tayari kushirikiana na hao mabeberu kuona sisi Maniger tuna baki kuwa chini na wao juu. Kwa sababu wanawalipa pesa nyingi.

Ni aibu kubwa sana kwenu na kwa waswahili ambao tunawasikiliza kwa kushindwa kutoa habari kubwa ambayo inavuka mipaka. Kwa vitendo vyenu hivyo sijui kama watoto wenu na vijukuu vyenu vitakuwa na amani hapo baadae na pia kuwa proud of you?

Mungu awabariki sana maniger katika matendo yenu ya kuwasaliti maniger wenzenu. Kuwaona waafrka wenzenu wakinyanyasika huku kuendelea kuchochea moto wa vurugu. Hivyo nyie ni binadam kweli kama sisi?

Nawaomba mtambue kuwa ulimwengu ni mmoja na sisi sote tu pamoja na tuna vuta hewa hiyo hiyo ambayo nyie na vibaraka wenu huko Amerika na Ulaya mnaivuta.

Nyie watangazaji wa idhaa za kiswahili ndiyo wapiga Propaganda wakubwa tukija katika maswala ya kutetea haki za binadam na "Freedom of Speech". Sasa niwaulize; haki zipi za binadam na Freedom of speech gani mnazitetea wakati tukio kubwa la kihistoria ya haki ya binadam ulimwenguni jana lilitokea?

Udaku wa kutumbuliwa kwa Waziri wa Mambo ya ndani wa Tanzania Mh. Kange Lugola na kamishna wa jeshi la Zimamoto mlikuwa wa kwanza kuwahabarisha waswahili ulimwenguni, lakini tukio la kihistoria ulimwenguni mlijifanya kama haliko. Hamjui kwa vitendo vyenu vya kisaliti kama hivi mna iua credibility yenu ya kuwa ni idhaa ambazo zina toa genuine taarifa za habari?

Hata hivyo msikonde ndugu zetu sisi tunajua kuwa nyie ni vibaraka ambao mnatumiwa tu na hayo mataifa ya kibeberu kutuangamiza sisi maniger wa Afrika. Lakini hata hivyo mkae mkijua kuwa hayo mataifa ya kibeberu mnayo yasaidia kutuangamiza sisi wanyonge, siku zake za kuonyesha makucha yao kwetu sisi siku hadi siku zina tokomea.

Amerika sio world power any more na Europe ndiyo kabisaa! Mziki hivi sasa uko China. Na kama nyie hamtaki kuamini ukweli wa mambo basi nawaomba angalieni hii clip hapa chini.

Huko ndiko mambo makubwa yanatokea. Endeleeni tu kuwasaidia mabeberu wanu. Iko siku mtaumbuka vibaya! Kama sio nyie basi jueni watoto wenu au vijukuu vyenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe na nyie hupata uchungu habari zenu zisipotangazwa ili ziwafikie mabeberu!!? "Utendalo, ndiloutendewalo."
Ninyi kwa ujinga wenu huzuia media zote za ndani zisitangaze habari za vyama vya siasa, halafu leo mnalalamika!!?
 
Kumbe na nyie hupata uchungu habari zenu zisipotangazwa ili ziwafikie mabeberu!!? "Utendalo, ndiloutendewalo."
Ninyi kwa ujinga wenu huzuia media zote za ndani zisitangaze habari za vyama vya siasa, halafu leo mnalalamika!!?
Hapana! Sijamaanisha mabeberu watusikie. Mabeberu wenyewe hata hivyo hawana mpango wowote wa kujua lugha yetu, tutafaidika nayo nini?
Ninacho sema ni matangazo ya activities zetu kwa watu wetu ambao wako kokote kule duniani wasikie na wajue nini kinaendelea kutoka nchi zao za asili. Badala ya kuwaachia wao ukumbi wa kufanya na sisi wanacho taka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo wewe unauliza uhusiano wa Rina Quint survivor wa Auschwitz na Tanzania? Anyway nitakujibu kistaarabu kwa kuwa yawezekana A-level ulisoma combinations za Science au hizi EGM.

Kwa aliyesoma Histrory A-level kuna Paper II ambayo ina cover World History from 1945 to current affairs. Kwenye hiyo Paper tunasoma mambo ya namna Adolf Hitler alivyo rise, atengeneza philosophy yake ya meinkampf, akaanzisha chama chake cha Nazi. Akapata madaraka, aka provoke vita vya dunia vya 2. Akafanya mauaji ya Wayahudi zaidi ya Milioni 6. Akateka sehemu kubwa ya Ulaya Mashariki. Then aashindwa vita baada ya kivamia Russia.

Sura ya mtangamano wa dunia wa sasa kisiasa, kiuchumi na kisiplomasia ni matokeo ya vita vikuu vya 2. Bila vita hivyo tusingekuwa na kambi 2 kubwa za vita baridi. Hata sera za kifedha za IMF na World Bank zinaanzia hapo. UN yenyewe nayo ilibadili jina toka League of Nations na kuwa UNO baada ya WW II. Kwa hiyo kwa historians kusikia BBC inarusha taarifa za Rina Quits kama manusura wa Auschwitz inatoka reflection kutoka kwa mtu aliyeshuhudia na siyo kusimuliwa.

Tunajifunza haya matukio dunia nzima siyo Tanzania tu ili kulaani vita au chuki hizi zisitokee tena dhidi ya binadamu. Naamini hii summary itakutosha Maneno Meier
Sikiliza Update ya WWII. msomi wetu wa History nafikiri itakusaidia kurekebisha ulicho kisoma kwenye vitabu vyako kwa ajili ya mitihani ya A-Level yako. Enjoy it!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana Rais Magufuli Jembe letu la Tanazania kutoka Chato ameshuhudia historia kubwa ya kutia saini ya mkataba wa makubaliano kati ya Tanzania na Barrick Gold wa kuendesha kampuni ya pamoja ya kuchimba dhahabu nchini, TWIGA MINERALS COOPERATION.

Na juzi tarehe 23 mwezi huu Rais Magufuli amevunja recorde katika Afrika ya kuyafanya mashirika na Taasisi zote za Umma kwa mara ya kwanza kutoa gawiwo serikalini. Hiyo nayo kwenu sio historical sensation.

Lakini nyinyi kwa kuogopa kupoteza kazi zenu mmeamua habari hizo kuzikaushia kwasababu zitampa Rais Magufuli ambaye kwa wengine wenu ni Rais wa nchi mliyotoka umaarufu na hivyo kuondoa kusudio la mabeberu wenu la njama zake za kuendelea kuliangamiza bara la Afrika kwa Propaganda zake ambazo nyie vibaraka wao mnazitoa lila siku ya mungu. Nyie mko tayari kushirikiana na hao mabeberu kuona sisi Maniger tuna baki kuwa chini na wao juu. Kwa sababu wanawalipa pesa nyingi.

Ni aibu kubwa sana kwenu na kwa waswahili ambao tunawasikiliza kwa kushindwa kutoa habari kubwa ambayo inavuka mipaka. Kwa vitendo vyenu hivyo sijui kama watoto wenu na vijukuu vyenu vitakuwa na amani hapo baadae na pia kuwa proud of you?

Mungu awabariki sana maniger katika matendo yenu ya kuwasaliti maniger wenzenu. Kuwaona waafrka wenzenu wakinyanyasika huku kuendelea kuchochea moto wa vurugu. Hivyo nyie ni binadam kweli kama sisi?

Nawaomba mtambue kuwa ulimwengu ni mmoja na sisi sote tu pamoja na tuna vuta hewa hiyo hiyo ambayo nyie na vibaraka wenu huko Amerika na Ulaya mnaivuta.

Nyie watangazaji wa idhaa za kiswahili ndiyo wapiga Propaganda wakubwa tukija katika maswala ya kutetea haki za binadam na "Freedom of Speech". Sasa niwaulize; haki zipi za binadam na Freedom of speech gani mnazitetea wakati tukio kubwa la kihistoria ya haki ya binadam ulimwenguni jana lilitokea?

Udaku wa kutumbuliwa kwa Waziri wa Mambo ya ndani wa Tanzania Mh. Kange Lugola na kamishna wa jeshi la Zimamoto mlikuwa wa kwanza kuwahabarisha waswahili ulimwenguni, lakini tukio la kihistoria ulimwenguni mlijifanya kama haliko. Hamjui kwa vitendo vyenu vya kisaliti kama hivi mna iua credibility yenu ya kuwa ni idhaa ambazo zina toa genuine taarifa za habari?

Hata hivyo msikonde ndugu zetu sisi tunajua kuwa nyie ni vibaraka ambao mnatumiwa tu na hayo mataifa ya kibeberu kutuangamiza sisi maniger wa Afrika. Lakini hata hivyo mkae mkijua kuwa hayo mataifa ya kibeberu mnayo yasaidia kutuangamiza sisi wanyonge, siku zake za kuonyesha makucha yao kwetu sisi siku hadi siku zina tokomea.

Amerika sio world power any more na Europe ndiyo kabisaa! Mziki hivi sasa uko China. Na kama nyie hamtaki kuamini ukweli wa mambo basi nawaomba angalieni hii clip hapa chini.

Huko ndiko mambo makubwa yanatokea. Endeleeni tu kuwasaidia mabeberu wanu. Iko siku mtaumbuka vibaya! Kama sio nyie basi jueni watoto wenu au vijukuu vyenu!

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu kuna hii habari kubwa mh. Makonda na mamsap kupigwa ban kuingia USA kwa majina yao, Vipi channel zetu pendwa za hapa nchini TBC, channel 10 na zingine zimeweza kutumia haki yao ya msingi kuijuza dunia kuhusu hii mambo?

Tujuzane jamani tusiwe wa kulalama lalama tu.
 
Nakazia, ipi radio ama TV channel yoyote ya bongo iliyoweza kuuvaa ujasiri wa kuijuza dunia kuhusu huyu mwana mpendwa na mkewe waliopigwa ban kuingia USA ki Osama Osama?

Tujuzane wandugu maana maendeleo hayana chama!
 
"shame in you" imekukoseha buku 7 leo....kiingereza chenyewe hujui na bado unajifanya mjuaji siku nyingine tumia lugha yako Tu na ujumbe utafika
BBC tuliijuaaaaa siku nyingi kuwa kipo kwa Maslahi yapi kwa Sisi Waafrika. Huwa tunakiangalia harafu tunacheka
 
Jana Rais Magufuli Jembe letu la Tanazania kutoka Chato ameshuhudia historia kubwa ya kutia saini ya mkataba wa makubaliano kati ya Tanzania na Barrick Gold wa kuendesha kampuni ya pamoja ya kuchimba dhahabu nchini, TWIGA MINERALS COOPERATION.

Na juzi tarehe 23 mwezi huu Rais Magufuli amevunja recorde katika Afrika ya kuyafanya mashirika na Taasisi zote za Umma kwa mara ya kwanza kutoa gawiwo serikalini. Hiyo nayo kwenu sio historical sensation.

Lakini nyinyi kwa kuogopa kupoteza kazi zenu mmeamua habari hizo kuzikaushia kwasababu zitampa Rais Magufuli ambaye kwa wengine wenu ni Rais wa nchi mliyotoka umaarufu na hivyo kuondoa kusudio la mabeberu wenu la njama zake za kuendelea kuliangamiza bara la Afrika kwa Propaganda zake ambazo nyie vibaraka wao mnazitoa lila siku ya mungu. Nyie mko tayari kushirikiana na hao mabeberu kuona sisi Maniger tuna baki kuwa chini na wao juu. Kwa sababu wanawalipa pesa nyingi.

Ni aibu kubwa sana kwenu na kwa waswahili ambao tunawasikiliza kwa kushindwa kutoa habari kubwa ambayo inavuka mipaka. Kwa vitendo vyenu hivyo sijui kama watoto wenu na vijukuu vyenu vitakuwa na amani hapo baadae na pia kuwa proud of you?

Mungu awabariki sana maniger katika matendo yenu ya kuwasaliti maniger wenzenu. Kuwaona waafrka wenzenu wakinyanyasika huku kuendelea kuchochea moto wa vurugu. Hivyo nyie ni binadam kweli kama sisi?

Nawaomba mtambue kuwa ulimwengu ni mmoja na sisi sote tu pamoja na tuna vuta hewa hiyo hiyo ambayo nyie na vibaraka wenu huko Amerika na Ulaya mnaivuta.

Nyie watangazaji wa idhaa za kiswahili ndiyo wapiga Propaganda wakubwa tukija katika maswala ya kutetea haki za binadam na "Freedom of Speech". Sasa niwaulize; haki zipi za binadam na Freedom of speech gani mnazitetea wakati tukio kubwa la kihistoria ya haki ya binadam ulimwenguni jana lilitokea?

Udaku wa kutumbuliwa kwa Waziri wa Mambo ya ndani wa Tanzania Mh. Kange Lugola na kamishna wa jeshi la Zimamoto mlikuwa wa kwanza kuwahabarisha waswahili ulimwenguni, lakini tukio la kihistoria ulimwenguni mlijifanya kama haliko. Hamjui kwa vitendo vyenu vya kisaliti kama hivi mna iua credibility yenu ya kuwa ni idhaa ambazo zina toa genuine taarifa za habari?

Hata hivyo msikonde ndugu zetu sisi tunajua kuwa nyie ni vibaraka ambao mnatumiwa tu na hayo mataifa ya kibeberu kutuangamiza sisi maniger wa Afrika. Lakini hata hivyo mkae mkijua kuwa hayo mataifa ya kibeberu mnayo yasaidia kutuangamiza sisi wanyonge, siku zake za kuonyesha makucha yao kwetu sisi siku hadi siku zina tokomea.

Amerika sio world power any more na Europe ndiyo kabisaa! Mziki hivi sasa uko China. Na kama nyie hamtaki kuamini ukweli wa mambo basi nawaomba angalieni hii clip hapa chini.

Huko ndiko mambo makubwa yanatokea. Endeleeni tu kuwasaidia mabeberu wanu. Iko siku mtaumbuka vibaya! Kama sio nyie basi jueni watoto wenu au vijukuu vyenu!

Sent using Jamii Forums mobile app


Unataka watoe habari unazozipenda wewe tu

Wakitoa usizozipenda ooooh freedom of speech,fvck you nigga!
 
Makosa yako ya kuandika herufi zote kubwa katika sentensi huyaoni? Ndiyo tulifundishwa hivyo shuleni katika somo la kuandika? Mbali na hilo kuandika sentensi kwa kuanza na TU... alafu unakuja na U... huoni kama umechangaya mwingereza wetu?

Sasa mwingireza wetu kama wewe kiswahili ambacho umekisikia toka tumboni kwa mama yako kinakushinda je mimi ambaye nimejifunza kiingereza nikiwa ukubwani itakuwaje?
SHAME IN YOU INSTEAD OF SHAME ON YOU " DAH TUMIENI TU KISWAHILI UTAELEWEKA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi wananzengo Baric na Accacia kuna uhusinao wowote mana haya mambo sielewi ata kidogo na siasa zenyewe ndo zinazingua kabisa nisielewe
 
Back
Top Bottom