Chona
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 523
- 360
Si kawaida yangu kumattack mtu personally ila kwa hili nimeshindwa kujizuia. Nilipata msituko baada ya kusikiliza vidokezo vya habari kwenye taarifa ya habari ya leo 30 july 2013 saa 2 usiku iliyotangazwa kwenye kituo cha redio cha Radio One.
Kisa chenyewe ni kwamba mtangazaji wakati anatangaza akatamka kuwa 'Mogan Tsvanjilai mgombea uraisi Zimbabwe amesema kuwa kama atashinda kiti cha uraisi ATAlipiza kisasi kwa hasimu wake Robert Mugabe. Baada ya kusikiliza taarifa kamili nikagundua kutokana na maelezo yake kuwa ilitakiwa atamke HATalipiza kisasi. Kiukweli mwanzo nilistuka . Nikajiuliza kwanini Mogani Tsvanjelai alipize kisasi! Kumbe watangazaji wetu hawapo makini licha ya kwamba wanasoma.
Swali, Je ni uzembe wa mtangazaji? Au ni mfumo mbovu wa elimu yetu kiasi kinachomfanya mtu asione kuwa kuna tofauti ya kimatamshi nahivyo kuleta tofauti ya maana kwa maneno hayo.
Kisa chenyewe ni kwamba mtangazaji wakati anatangaza akatamka kuwa 'Mogan Tsvanjilai mgombea uraisi Zimbabwe amesema kuwa kama atashinda kiti cha uraisi ATAlipiza kisasi kwa hasimu wake Robert Mugabe. Baada ya kusikiliza taarifa kamili nikagundua kutokana na maelezo yake kuwa ilitakiwa atamke HATalipiza kisasi. Kiukweli mwanzo nilistuka . Nikajiuliza kwanini Mogani Tsvanjelai alipize kisasi! Kumbe watangazaji wetu hawapo makini licha ya kwamba wanasoma.
Swali, Je ni uzembe wa mtangazaji? Au ni mfumo mbovu wa elimu yetu kiasi kinachomfanya mtu asione kuwa kuna tofauti ya kimatamshi nahivyo kuleta tofauti ya maana kwa maneno hayo.