Mpaka sasa katika waliochukua form huko MCC mwenye influence ni ENL Tu,kelele za hawa wengine ni kujibeba mgongoni kwake wapate umaarufu
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi nenda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike. Uchunguzi ukafanyika na ikabainika kwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa. Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu."
Na wewe ulipewa??
Mkuu mimi sikupata ndugu yangu.we ulipata?ila kama ningepewa singekataa.safari ya bure kwenda arusha na kurudi ulikotoka,malazi,makazi na posho juu ofcourse ningechukua..who wont?????ila kura yangu hawezi ipata..
Edward Lowassa.. Waliohudhuria. Wenyeviti wa Mikoa~23 kati ya Mikoa 30. Wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)~286 kati ya 378. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~1967/2600's... Wabunge wa JMT~168/357
Hakuna sehemu nimeandika wamasai sijui wananchi
Acha kukurupuka
Na wew ulihongwa???
katika wajinga wote dunia ww unashka NAMBA MOJA ametoa takwimu ya watu muhimu ambao ndo kioo kwa mgombea. watu ambao wanaweza kumfanya m2 awe mgombea kuptia kupgiwa kura,xaxa je wap hujaelewa we kilaza? mmmh... alo leo nmeona mjinga wa kwanza dunian anaeshndwa kufkria kilicho andikwa badala yake anakurupuka, kaa tulia jenga hoja acha kukurupuka na kuchangia au kuandka ilmrad UJAZE NAFAS AU upo h...zi?
Story za vijiweni hzo
Hili halina ubishi kabisa!
Hadi sasa wametia nia wengi sana. Wapo zaidi ya kumi. Bado kuna wengine pia wataendelea kutia nia muda si mrefu.
Hadi ninavyooandika huu uzi hapa, ipo wazi kuwa hadi sasa hivi Lowassa ndio 'the heavy weight'. Kila alietia nia anasema 'Lowassa is the man to watch'
Sioni wa kushindana nae katika mizani ya usawa na haki, labda katika mizani ile waliozoea CCM ile ya parakachumba mwenye kukosa kakosa mwenye kupata kapata na maisha yanaendelea!
Hili halina ubishi kabisa!
Hadi sasa wametia nia wengi sana. Wapo zaidi ya kumi. Bado kuna wengine pia wataendelea kutia nia muda si mrefu.
Hadi ninavyooandika huu uzi hapa, ipo wazi kuwa hadi sasa hivi Lowassa ndio 'the heavy weight'. Kila alietia nia anasema 'Lowassa is the man to watch'
Sioni wa kushindana nae katika mizani ya usawa na haki, labda katika mizani ile waliozoea CCM ile ya parakachumba mwenye kukosa kakosa mwenye kupata kapata na maisha yanaendelea!
Hili halina ubishi kabisa!
Hadi sasa wametia nia wengi sana. Wapo zaidi ya kumi. Bado kuna wengine pia wataendelea kutia nia muda si mrefu.
Hadi ninavyooandika huu uzi hapa, ipo wazi kuwa hadi sasa hivi Lowassa ndio 'the heavy weight'. Kila alietia nia anasema 'Lowassa is the man to watch'
Sioni wa kushindana nae katika mizani ya usawa na haki, labda katika mizani ile waliozoea CCM ile ya parakachumba mwenye kukosa kakosa mwenye kupata kapata na maisha yanaendelea!