Watangaza nia, Lowassa hakamatiki

Watangaza nia, Lowassa hakamatiki

mzee wa kismati

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
2,291
Reaction score
798
* LOWASSA HAKAMATIKI

Ikiwa mchakato wa kuchukua fomu unaedelea, ebu tutumie dakika chache kutafakari nguvu ya kila mgombea... Nguvu ya mgombea au mgombea mtarajiwa tunaweza kuijua kutokana na jinsi anavyoungwa mkono na wananchi, wanachama, wajumbe wa vikao mbalimbali, na viongozi kwa ujumla wao...

Mpaka sasa ni takriban wagombea 9 washatangaza nia, ebu sasa tuangalie idadi ya viongozi/wajumbe waliowasindikiza siku wanatangaza nia (Hasa Wenyeviti wa CCM Mikoa, WaNec, wabunge na wajumbe wa mkutano mkuu)....

1. Edward Lowassa.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~23 kati ya Mikoa 30
. Wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)~286 kati ya 378
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~1967/2600's..
. Wabunge wa JMT~168/357

2. Fredrick Sumaye.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa Halmashauri kuu (NEC)~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~2
. Wabunge~0

3. Prof. Mack Mwandosya.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~4
. Wabunge~2

4. Mwigullu Nchemba.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~4

5. Stephene Wassira.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~3

6. Dr. Titus Kamani.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~1
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~1

7. Prof. Muhongo... Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~1

8. Makongoro Nyerere.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~1
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~2

9. Balozi Karume.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~0

Mytake:... Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.... Hii ndiyo safari ya Matumaini.........
 
Uhudhuriaji wa mambo kama haya unategemea sana burudani na gharama za kuhudhuruia na malipo yake. Ukiambia niende Arusha bure kumtazama Diamond stejini na kuishi hotelini bure kwa siku tatu ikiwa ni pamoja na kutembelea mbuga za wanyama sitaacha kwenda wakati najua siri yangu mbele ya boksi la kura.
 
Hapo umeainisha uwezo wa wagombea katika kununua watu na sio kukubalika. ni kweli lohasa ni balaa mpaka kamweka kati yule mwakilishi wa waganga wa jadi kwenye BMLK.
 
Hata mourinho huwa ana enda emirates kuangalia game za arsenal.na sio fan wa arsenal!
 
 
Last edited by a moderator:
* LOWASSA HAKAMATIKI

Ikiwa mchakato wa kuchukua fomu unaedelea, ebu tutumie dakika chache kutafakari nguvu ya kila mgombea... Nguvu ya mgombea au mgombea mtarajiwa tunaweza kuijua kutokana na jinsi anavyoungwa mkono na wananchi, wanachama, wajumbe wa vikao mbalimbali, na viongozi kwa ujumla wao...

Mpaka sasa ni takriban wagombea 9 washatangaza nia, ebu sasa tuangalie idadi ya viongozi/wajumbe waliowasindikiza siku wanatangaza nia (Hasa Wenyeviti wa CCM Mikoa, WaNec, wabunge na wajumbe wa mkutano mkuu)....

1. Edward Lowassa.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~23 kati ya Mikoa 30
. Wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)~286 kati ya 378
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~1967/2600's..
. Wabunge wa JMT~168/357

2. Fredrick Sumaye.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa Halmashauri kuu (NEC)~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~2
. Wabunge~0

3. Prof. Mack Mwandosya.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~4
. Wabunge~2

4. Mwigullu Nchemba.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~4

5. Stephene Wassira.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~3
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~7
. Wabunge~3

6. Dr. Titus Kamani.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~1
. Wajumbe wa NEC~2
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~1

7. Prof. Muhongo... Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~1

8. Makongoro Nyerere.. Waliohudhuria..
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~1
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~3
. Wabunge~2

9. Balozi Karume.. Waliohudhuria
. Wenyeviti wa Mikoa~0
. Wajumbe wa NEC~0
. Wajumbe wa Mkutano Mkuu~2
. Wabunge~0

Mytake:... Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.... Hii ndiyo safari ya Matumaini.........
Hakamatiki wakati hata kukimbia hawezi we jamaa wewe,hao wajumbe waliohudhuria kote huko hatufiki wanakula kichwa dk za mwanzo kabisa kabla ya kufika huko.
 
Hapo umeainisha uwezo wa wagombea katika kununua watu na sio kukubalika. ni kweli lohasa ni balaa mpaka kamweka kati yule mwakilishi wa waganga wa jadi kwenye BMLK.
Nakubaliana na wewe hivi mtu umelipiwa tiketi na pesa ya hotel pamoja na chakula kwanini usiende kutalii? Chamlevu huliwa na mgema.
 
ukweli utabaki kweli! Lowasa ana nguvu sana,nawambieni atakuwa rais japo anapigwa vita sana
nasema tena enl atakuwa rais!,; hii ndo safari ya matumaini
 
Hatumtaki rais yeyote kutoka ccm maana wamekuwa kama kinyonga hawana msimamo wameweka chama mbele tanzania nyuma
 
We suburi tu woote haoni wanafiki tu kww loh hasa
 
Hao wamasai wa Monduli na Loliondo wote wale asingewashonea nguo na kuwasafirisha, kuwalisha ingawa walilala uwanjani kwa sababu hotel zote zilijaa, wangehudhuria?

Hizo coster 200 alizokodisha za kusomba watu kutoka kilimanjaro, watu hao wangekwenda?

Hayo mabasu aliyokodisha kutoka Tanzania nzima, akiwalisha wote pamoja na kuwapa posho ya kujikumu waliofika wangekwenda?

Asingekuwa amefunga mahoteli na nyumba za wageni zote Arusha mjini na pembezoni, kwamba zimeliipiwa kwa ajili ya wageni wa Lowasa, wale watu wangekwenda?

Angetangazia Monduli nyumbani kwake bila kutumia hizo fedha alizotumia kununua na kugharimikia washangiliaji, watu wangapi wangekwenda?

Masuala mengine hayasomewi shuleni.


ukweli utabaki kweli! Lowasa ana nguvu sana,nawambieni atakuwa rais japo anapigwa vita sana
nasema tena enl atakuwa rais!,; hii ndo safari ya matumaini
 
Uhudhuriaji wa mambo kama haya unategemea sana burudani na gharama za kuhudhuruia na malipo yake. Ukiambia niende Arusha bure kumtazama Diamond stejini na kuishi hotelini bure kwa siku tatu ikiwa ni pamoja na kutembelea mbuga za wanyama sitaacha kwenda wakati najua siri yangu mbele ya boksi la kura.

Hakuna kitu kama hicho wewe
Lowassa ana nguvu
Endelea kuumia tu utaumia miaka kumi
 
Nakubaliana na wewe hivi mtu umelipiwa tiketi na pesa ya hotel pamoja na chakula kwanini usiende kutalii? Chamlevu huliwa na mgema.

Watu wote hao uwalipe pesa unatoa wapi?
Acha kuwa kama mbumbumbu kama nyumbu au farasi
 
We suburi tu woote haoni wanafiki tu kww loh hasa

Hakuna cha unafiki
Utausemeaje moyo wa mwingne?
Umekuw Mungu?
Hakuna anayepewa hela hata wao wanajua sasa hawajapewa sasa manno yenu kama wadada ni kuwathibitishia mnamchafua bure daudi mwana wa yesse
 
hiyo p.buku tushaikamata mkia aendi shimoni tena kilichobaki ni kuvunja mtungi kuigonga kichwa ukawa ndiyo imepewa lungu kumaliza ukoo wa panya
 
Hao wamasai wa Monduli na Loliondo wote wale asingewashonea nguo na kuwasafirisha, kuwalisha ingawa walilala uwanjani kwa sababu hotel zote zilijaa, wangehudhuria?

Hizo coster 200 alizokodisha za kusomba watu kutoka kilimanjaro, watu hao wangekwenda?

Hayo mabasu aliyokodisha kutoka Tanzania nzima, akiwalisha wote pamoja na kuwapa posho ya kujikumu waliofika wangekwenda?

Asingekuwa amefunga mahoteli na nyumba za wageni zote Arusha mjini na pembezoni, kwamba zimeliipiwa kwa ajili ya wageni wa Lowasa, wale watu wangekwenda?

Angetangazia Monduli nyumbani kwake bila kutumia hizo fedha alizotumia kununua na kugharimikia washangiliaji, watu wangapi wangekwenda?

Masuala mengine hayasomewi shuleni.

Edward Lowassa.. Waliohudhuria. Wenyeviti wa Mikoa~23 kati ya Mikoa 30. Wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)~286 kati ya 378. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa~1967/2600's... Wabunge wa JMT~168/357

Hakuna sehemu nimeandika wamasai sijui wananchi
Acha kukurupuka
Na wew ulihongwa???
 
Back
Top Bottom