curry_atomic
Member
- Mar 30, 2020
- 57
- 48
Habarini ndugu nilikuwa nataka kutengeneza mobile app kama project ya chuo mwaka wa mwisho ila walimu wameniongezea requirements wameniambia kwenye io app hata mtu mwenye simu ya button kama nokia hizi feature phone aweze ku-access app kwa kutumia voice gate yaani aweze kutuma ujumbe kwenye app na pia aweze kupiga simu kwa special number kama vile mitandao yetu ya simu inavosema bonyeza 1 kupata huduma fulani kwa maana sasa apate huduma fulani katika hiyo app.
Je, hiki kitu kinawezekana? Sina uzoefu na hilo.
Natanguliza shukrani
Je, hiki kitu kinawezekana? Sina uzoefu na hilo.
Natanguliza shukrani