Watalamu na Mafundi wa umeme ni kwa nini nikiweka tester kwenye waya wa Live, Neutral na Earth inawaka?

PD_Magumba

JF-Expert Member
Apr 2, 2021
687
2,173
Nilihisi shock kidogo nilipokuwa nikichomeka bulb kwenye holder yake richa ya kuwa switch yake ilikuwa OFF. Nikahisi switch itakua closed hata kama iko off.

Nikachukua tester ambayo iko rated 100-500V nikatest kwenye nati za nyaya kwenye switch kila mojawapo taa ya tester ikawaka, nikaamua kuzifungua waya zote kwenye switch nikazitest tena kila mojawapo bado tester ikawaka. Basi nikaamini huko kwenye junction box L,N na E zitakuwa zimeshot huku nikijiuliza hii ni short circuit na kama ndivyo kwanini Fuse/na Circuit breaker hazikati umeme?

Kwenye junction box nikatest tena waya zote 3 LNE na tester ikawaka. Nikasema waya mbovu na nikaifungua kwenye junction box.

Ikawa completely disconnected from source. Sasa nikaamua tena kuitest hiyo 3wire cable nikahakikisha sehemu zilizo wazi hazigusani kisha nikachomeka waya moja wapo kwenye L ya socket nikatest waya zote 3 tester ikawaka, nikanunua cable mpya nayo nikachomeka mojawapo kwenye L na zote testor ikawaka. Je ni pour insulated cable?
 
Nashangaa sana mkuu ila nimetest nyumba nzima kwenye cable za switch na socket zingine hakuna miujiza hiyo.
Wakati fulani nyumban kulikuwa na switch socket moja wakiitumia circuit breaker inajizima

Siku moja ikabid niifungue nikakuta nyaya zimechanganywa kwenye earth wameweka waya wa live,ikabidi niziweke zinavyotakiwa nilibak kushangaa ni fundi gan alifunga vile
 
Wakati fulani nyumban kulikuwa na switch socket moja wakiitumia circuit breaker inajizima

Siku moja ikabid niifungue nikakuta nyaya zimechanganywa kwenye earth wameweka waya wa live,ikabidi niziweke zinavyotakiwa nilibak kushangaa ni fundi gan alifunga vile
Mafundi wengine hawajari kabisa fikiria fundi anaunganisha taa na socket njia moja.
 
mzee fundi huna multi-meter ?
binafsi tester ninayo ila ni ya kufunga/kufungua tu
tests za insulation, earthing na continuity natumia meter-DMM, ili nipate majibu yakiwa kwenye 'figure za namba' , siyo 'kuwaka taa'
 
Nilihisi shock kidogo nilipokuwa nikichomeka bulb kwenye holder yake richa ya kuwa switch yake ilikuwa OFF. Nikahisi switch itakua closed hata kama iko off.

Nikachukua tester ambayo iko rated 100-500V nikatest kwenye nati za nyaya kwenye switch kila mojawapo taa ya tester ikawaka, nikaamua kuzifungua waya zote kwenye switch nikazitest tena kila mojawapo bado tester ikawaka. Basi nikaamini huko kwenye junction box L,N na E zitakuwa zimeshot huku nikijiuliza hii ni short circuit na kama ndivyo kwanini Fuse/na Circuit breaker hazikati umeme?

Kwenye junction box nikatest tena waya zote 3 LNE na tester ikawaka. Nikasema waya mbovu na nikaifungua kwenye junction box.

Ikawa completely disconnected from source. Sasa nikaamua tena kuitest hiyo 3wire cable nikahakikisha sehemu zilizo wazi hazigusani kisha nikachomeka waya moja wapo kwenye L ya socket nikatest waya zote 3 tester ikawaka, nikanunua cable mpya nayo nikachomeka mojawapo kwenye L na zote testor ikawaka. Je ni pour insulated cable?
jibu sahihi litapatikana kwa kupima kwa kutumia vifaa sahihi ( pima voltage, continuity na insulated resistance).
baada ya hapo ndo utagundua kama ni leakage ya loose connection, poor earth system, poor insulation e.t.c
 
mzee fundi huna multi-meter ?
binafsi tester ninayo ila ni ya kufunga/kufungua tu
tests za insulation, earthing na continuity natumia meter-DMM, ili nipate majibu yakiwa kwenye 'figure za namba' , siyo 'kuwaka taa'
Mkuu lakini kwa nini hyo inatokea?
Digital Multi-Meter ipo mkuu
 
yawezakua ni ghosting ya umeme, nashauri tumia mita, maana itatoa majibu kwa nambari
kwa kuwaka taa ya tester, itakua ni kupiga ramli
Binafisi nina excellent basic knowledge na siyo expert hivyo nita consult Mafundi tu. Ila kuwaka taa ya tester kuna maanisha uwepo wa umeme ndo nikashangaa ina wezekana vipi niki-connect waya moja wapo tu ya L,N au E kwenye Socket basi zote zinakuwa na umeme
 
Binafisi nina excellent basic knowledge na siyo expert hivyo nita consult Mafundi tu. Ila kuwaka taa ya tester kuna maanisha uwepo wa umeme ndo nikashangaa ina wezekana vipi niki-connect waya moja wapo tu ya L,N au E kwenye Socket basi zote zinakuwa na umeme
tester inaonesha umeme upo, je wa kiasi gani ?
meter inatoa namba kabisa, yawezasoma 60V au 220V,
kiwango cha namba ndicho kitafanya useme sababu ni nini haswa, maana tester yenyewe kukiwa na walau 50V inawaka,
 
tester inaonesha umeme upo, je wa kiasi gani ?
meter inatoa namba kabisa, yawezasoma 60V au 220V,
kiwango cha namba ndicho kitafanya useme sababu ni nini haswa, maana tester yenyewe kukiwa na walau 50V inawaka,
Mkuu unamaanisha uwepo wa let say hiyo 50V kwenye waya ambao hauja unganishwa kwenye source ni sawa?
 
Back
Top Bottom