Suma mziwanda kageye
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 213
- 21
Wadau hiv kunatofaut gan kati ya BSc in geology ana BSc with geology?je tofaut kat ajira pia iko vip?
bsci in geology unakua unasoma geology as geology bila mambo mengine kama maths,phy....ila kwenye bsci with geology unakua unasoma geology kama geology na ku specialize katika any two scientific fields kama phy,geog,comp sci,bios etc...zote hizo zinatolewa ud....ziko poa hasa bsci with geology!!!
hiyo ni kwamba ANAWEZA!!! kwa ud according to tcu guide book walikua wanachukua ila lazima uwe na one kali...bila kusahau uwe umepiga science form4.....Hivi mtu aliyesoma EGM anaweza somea bsc with geology and computer sci
ila kwa ud comp science wanataka watu wa pcm na pgm..ila ukiwa mjanja unaweza chukua bsci with geology afu kwenhiyo part ya science ukaspecializ kweny comp science....Hivi mtu aliyesoma EGM anaweza somea bsc with geology and computer sci
Vipi market kati ya Geology, Mineral Metallurgy and Chemical Processing, Na Mining engineering. Ipi ina soko kubwa la ajira na ina mshahara mnono.
ila kwa ud comp science wanataka watu wa pcm na pgm..ila ukiwa mjanja unaweza chukua bsci with geology afu kwenhiyo part ya science ukaspecializ kweny comp science....
never mind bro...YOUR WELCUM....ubarikiwe sana
MKUU MIMI NAIMAN NI ZOTE!!!! hiyo ya metallurgy ni prog mpya sana hapa bongo na imeanzishwa this year pale ud...obvious it must have a gud future hasa ukilinganisha ni mpya na watu kama hao(wa kufua na kuzalisha vyuma) hapa bongo hawapo.... ALL IN ALL THEY BOTH PAY GUD...UTAYOPATA WE NENDA!!!Vipi market kati ya Geology, Mineral Metallurgy and Chemical Processing, Na Mining engineering. Ipi ina soko kubwa la ajira na ina mshahara mnono.
wanaweza wanasema cha muhimu ni kama alisoma na kufaulu vizuri phy na chem olevelHivi mtu aliyesoma EGM anaweza somea bsc with geology and computer sci
Hahahah ngoja tumsubirie ajibu,ila Magu 2015 ndo aliharibu chakula ya hizo kozi watu wakakosa kaziMkuu tupe mrejesho, miaka imekimbia sana. Naamini umesha experience mambo mengi. Vipi kuhusu ajira kiujumla and other opportunities.