mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
suala bibi kuchakachuliwa lipo wazi 5 years ni nyingi sana hapo kati kati lazima atakua amepata ujauzito wa hapa na pale (Lazima atakua ametoa ofcoz kama anatarajia ujio wako or mayb mtoto yupo kwa bibi yake kule chijijini atakufahamisha baadae hilo suala baada ya kuwa mshafunga ndoa))mayb na magonjwa kadhaa kadhaa ya zinaa cha kufanya hapo ukirudi.Muende mkacheki kama mdudu hajavamia makazi yenu kwa sababu mimi na wasambaa wenzangu wote tunaamini kabisa ile "kitu" huwa haiozi wala haichachi...kama alivyosema mchangiaji mmoja baada ya kuoshwa urudia upya wake kama zamani.Ni hayo tu ndugu yangu uliye njia panda