wataelewa tu,,

wataelewa tu,,

CTX

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
1,273
Reaction score
986
2c09221110592eb4307150182a31684e.jpg
 
Joseverest akija atani tafsiria mie sijaelewa hiyo picha naona viatu vimegeuka geuka tuuu
Mtani hapo anamaanisha kuwa Pale ambapo hutaki Adui yako akufatilie nyendo/hatua zako kwa hiyo unaamua kuvaa viatu hivyo...mbele kunakuwa nyuma na nyuma kunakuwa mbele...Hata ukifatilia utaona kama anakuja kumbe ameshaenda mbele
 
ati anakwenda au anarudi kakata kona eeh
 
Hii ni sign ya anaefanya kinyume na maumbile
 
Back
Top Bottom