Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Wataalamu wanashauri 1/2 ya sahani iwe mboga, inaweza kuwa 1/2 mboga za kupika na 1/2 salad kama tango, yanya (kachumbari).
1/4 ya sahani iwe nafaka, ugali, wali, viazi, mihogo au pasta.
1/4 ya sahani iwe kuku, nyama, maini, samaki , maharage au mayai.
Sasa wale wa kupika ugali mboga ni fungi la samaki wa gengeni jiongezeni basi muwe mna nunua na fungu la nyanya na tango.