Wataalamu Wa Umeme Wa Nyumba naomba Msaada

pharao

JF-Expert Member
Jan 17, 2017
386
664
Wakuu kuna fundi, Amefanya Wiring kwenye nyumba ila kuna kitu naona kama ni kigeni naombeni msaada kujua kama ni sawa au Kuna shida.

Kwa kawaida switch Huwa na matundu Matatu tundu moja juu na mawili chini, sasa hapa ikitokea umeconect tundu la juu la switch na tundu la chini moja, Socket Breacker inazima umeme nyumba nzima hapohapo, Ila Ukiconnect kwenye matundu mawili ya chini kama kawaida umeme haukatiki.

Je kitaalamu hii ipo sawa au kuna mauzauza.
 
Wakuu kuna fundi, Amefanya Wiring kwenye nyumba ila kuna kitu naona kama ni kigeni naombeni msaada kujua kama ni sawa au Kuna shida.

Kwa kawaida switch Huwa na matundu Matatu tundu moja juu na mawili chini, sasa hapa ikitokea umeconect tundu la juu la switch na tundu la chini moja, Socket Breacker inazima umeme nyumba nzima hapohapo, Ila Ukiconnect kwenye matundu mawili ya chini kama kawaida umeme haukatiki.

Je kitaalamu hii ipo sawa au kuna mauzauza.
Terminal ya juu (earth terminal) imegusana na moja ya terminal za chini (live terminal au neutral terminal). Hii ni makosa yaliyo kwenye ufungaji wa nyaya kwenye sehemu za ufungaji (connection boxes) huko kwenye Dali

Suluhisho No1: Fundi arudi kutafuta earth leakage ilipo na arekebishe

Suluhisho No2: unaweza kutumia umeme kama kawaida ikiwa utachagua kitotumia earth terminal (tundu la juu)
 
Unachokitafuta utakipata. Unachofanya ni short circuit. Unapounganisha ground na chanya au hasi kunaweza kusababisha mzunguko mfupi, na hivyo kusababisha hatari za usalama. Hii ndiyo sababu umeme unakoma ili kuzuia uharibifu au moto.

Sijui nani alikufundisha namna ya kuunganisha au hata matumizi ya umeme. Siku zote tunatumia positive na negative ili kuleta matokeo bomba. Ila wewe unaenda kuunganisha ground kwa majina mengine mnaita neutral na mojawapo.


Hakikisha daima kuwa miunganisho ya umeme inafanywa kwa usahihi ili kuepuka hatari za umeme. Waya wa positive unapaswa kuunganishwa na terminal ya positive, waya wa negative na terminal ya negative, na waya wa ardhi na terminal ya ardhi.

Au mimi ndiye sijakuelewa Mkuu? Unaunganisha zote kwa pamoja ndipo umeme hukatika, ama unaunganisha tundu la juu na tundu moja la chini?
 
Unachokitafuta utakipata. Unachofanya ni short circuit. Unapounganisha ground na chanya au hasi kunaweza kusababisha mzunguko mfupi, na hivyo kusababisha hatari za usalama. Hii ndiyo sababu umeme unakoma ili kuzuia uharibifu au moto.

Sijui nani alikugundisha namna ya kuunganisha au hata matumizi ya umeme. Siku zote tunatumia positive na negative ili kuleta matokeo bomba. Ila wewe unaenda kuunganisha ground kwa majina mengine mnaita neutral na mojawapo.


Hakikisha daima kuwa miunganisho ya umeme inafanywa kwa usahihi ili kuepuka hatari za umeme. Waya wa positive unapaswa kuunganishwa na terminal ya positive, waya wa negative na terminal ya negative, na waya wa ardhi na terminal ya ardhi.

Au mimi ndiye sijakuelewa Mkuu? Unaunganisha zote kwa pamoja ndipo umeme humatika, ama unaunganisha tundu la juu na tundu moja la chini?
mm mm mwenyewe sijamuelewa yaan anaugusanisha earth na nutro or live afu anategemea isitrip breaker kweli...?
 
Wakuu kuna fundi, Amefanya Wiring kwenye nyumba ila kuna kitu naona kama ni kigeni naombeni msaada kujua kama ni sawa au Kuna shida.

Kwa kawaida switch Huwa na matundu Matatu tundu moja juu na mawili chini, sasa hapa ikitokea umeconect tundu la juu la switch na tundu la chini moja, Socket Breacker inazima umeme nyumba nzima hapohapo, Ila Ukiconnect kwenye matundu mawili ya chini kama kawaida umeme haukatiki.

Je kitaalamu hii ipo sawa au kuna mauzauza.
Eleza vizuri ueleweke, mfano ukiu ganisha tundu ya juu na ya chini kushoto hakuna tatizo kwani ya juu ni ethi(ardhi) na ya chini kushoto ni hasi(- negativu), ukiunganisha ya juu ethi(ardhi) na ya chini chanya(+ pozitivu) tatizo litatokea. Sasa wewe umeunganishaje?
 
Huyo Fundi Amewategea Bomu. Na Bomu Lenyewe ndo hiyo Nyumba.
Umemuelewa lakini alichouliza? Labda kama mimi nimemuelewa vibaya.

Socket huwa inakuwa na tundu mbili au tatu. Tundu zikiwa tatu inamaan kuna live, neutral na earther yaani zile tundu za chini ni live na neutral ile ya juu ni ya kupelekwa kwenye line ya earth rod.

Sasa yeye anaconnect kivipi tundu la Earth rod na hizi tundu mbili za chini, anataka kugundua kitu gani kwa mfano?
 
Unachokitafuta utakipata. Unachofanya ni short circuit. Unapounganisha ground na chanya au hasi kunaweza kusababisha mzunguko mfupi, na hivyo kusababisha hatari za usalama. Hii ndiyo sababu umeme unakoma ili kuzuia uharibifu au moto.

Sijui nani alikugundisha namna ya kuunganisha au hata matumizi ya umeme. Siku zote tunatumia positive na negative ili kuleta matokeo bomba. Ila wewe unaenda kuunganisha ground kwa majina mengine mnaita neutral na mojawapo.


Hakikisha daima kuwa miunganisho ya umeme inafanywa kwa usahihi ili kuepuka hatari za umeme. Waya wa positive unapaswa kuunganishwa na terminal ya positive, waya wa negative na terminal ya negative, na waya wa ardhi na terminal ya ardhi.

Au mimi ndiye sijakuelewa Mkuu? Unaunganisha zote kwa pamoja ndipo umeme humatika, ama unaunganisha tundu la juu na tundu moja la chini?
Huyu ndio wale watu ambao hawakufanya utundu utotoni so ameanza very late utundu.
 
Eleza vizuri ueleweke, mfano ukiu ganisha tundu ya juu na ya chini kushoto hakuna tatizo kwani ya juu ni ethi(ardhi) na ya chini kushoto ni hasi(- negativu), ukiunganisha ya juu ethi(ardhi) na ya chini chanya(+ pozitivu) tatizo litatokea. Sasa wewe umeunganishaje?
Halafu alivyo mpuuzi anaelezea nusu nusu kisha anasepa kama mtu aliyeachia ushuzi kwenye daladala mida ya jioni wakati wa kubabana kisha anashuka kimya kimya na kuwaachia watu harufu kali na manung'uniko ya hali ya juu.
 
Eleza vizuri ueleweke, mfano ukiu ganisha tundu ya juu na ya chini kushoto hakuna tatizo kwani ya juu ni ethi(ardhi) na ya chini kushoto ni hasi(- negativu), ukiunganisha ya juu ethi(ardhi) na ya chini chanya(+ pozitivu) tatizo litatokea. Sasa wewe umeunganishaje?
hapo nimekuelewa mzee
 
Waya wa positive unapaswa kuunganishwa na terminal ya positive, waya wa negative na terminal ya negative
Mpaka hapo, naomba kuelewa terminal ya positive, waya wa negative na terminal ya negative ni zipi kwenye huu umeme wetu wa Tanesco!

Asante
 
Back
Top Bottom