Wataalamu wa umeme naomba msaada kwenu

Raaj

JF-Expert Member
Feb 10, 2013
205
29
Habari ndugu wana jf baada ya kujipanga kwa muda mrefu hatimaye nimefanikiwa kununua laptop kutokana na ukosefu wa umeme nataka kununua betri ya gari na inverter halafu natumia kama source of energy je hii haiwezi kuharibu laptop yangu? Je umeme huo unaweza kutosheleza?
 
Habari ndugu wana jf baada ya kujipanga kwa muda mrefu hatimaye nimefanikiwa kununua laptop kutokana na ukosefu wa umeme nataka kununua betri ya gari na inverter halafu natumia kama source of energy je hii haiwezi kuharibu laptop yangu? Je umeme huo unaweza kutosheleza?

Kimsingi ni kwamba hakuna tatizo, unachotakiwa ni kununua betri kavu (isiyotumia maji ndani) yenye maji yatatiririka kupitia mkondo umeme na kuharibu laptop yako kwenye saketi (kutu)
pata betry 12v/ 24ah, sola 30w na inveter 150w. Utajisahau..
 
hiyo wala haina tatizo itasheleza tu kwa matumiz ya loptap tu kwan huwa inatumia moto kidogo sana kinachotakiwa umakin unahitajika wakat wamatumiz yako kwan hyo betr inaweza ikavuja nakusababisha matatzo. .HONGERA SANA KWA HATUA ULIYOFIKIA MWANAJF
 
hiyo wala haina tatizo itasheleza tu kwa matumiz ya loptap tu kwan huwa inatumia moto kidogo sana kinachotakiwa umakin unahitajika wakat wamatumiz yako kwan hyo betr inaweza ikavuja nakusababisha matatzo. .HONGERA SANA KWA HATUA ULIYOFIKIA MWANAJF

asante kwa ushauri mpendwa
 
Kimsingi ni kwamba hakuna tatizo, unachotakiwa ni kununua betri kavu (isiyotumia maji ndani) yenye maji yatatiririka kupitia mkondo umeme na kuharibu laptop yako kwenye saketi (kutu)
pata betry 12v/ 24ah, sola 30w na inveter 150w. Utajisahau..

Thanks
 
Back
Top Bottom