Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,414
Dogo kaja na simu yake Galaxy s4 inajirestart kila muda mpaka itakapoisha chaji izimike. mie kwa haraka haraka nikaona hapa naiwekea firmware mpya maana factory reset haijasaidia kitu,
hapo ndio shida ilipoanzia, kabla sijaanza kudownload android 4.4.2 kitkat nikaona kwanza niikague nikaiconnect kwenye pc iliupoanza kuinstall drivers nikaona kitu kama MT-ngapingapi drivers installing nikashtuka ikabidi niinstall aNTutu benchmark test nikagundua kwanza sio original ni clone baada ya kuona ina kitu cha mediatek, sasa hapo ikabidi niwe mpole nikaone nije jukwaani mnipe usaidizi wa maswali yangu yafuatayo
1. kwa case ya simu ya android kujirestart kila mara possible cause and solution ni nini?
2. kama nataka kuweka firmware mpya, napata wapi au zilezile za samsung zinakubali?
waione chief-mkwawa njunwa wamavoko snipa na wengine wote wenye ujuzi wa hizi simu
hapo ndio shida ilipoanzia, kabla sijaanza kudownload android 4.4.2 kitkat nikaona kwanza niikague nikaiconnect kwenye pc iliupoanza kuinstall drivers nikaona kitu kama MT-ngapingapi drivers installing nikashtuka ikabidi niinstall aNTutu benchmark test nikagundua kwanza sio original ni clone baada ya kuona ina kitu cha mediatek, sasa hapo ikabidi niwe mpole nikaone nije jukwaani mnipe usaidizi wa maswali yangu yafuatayo
1. kwa case ya simu ya android kujirestart kila mara possible cause and solution ni nini?
2. kama nataka kuweka firmware mpya, napata wapi au zilezile za samsung zinakubali?
waione chief-mkwawa njunwa wamavoko snipa na wengine wote wenye ujuzi wa hizi simu
Last edited by a moderator: