Wataalamu wa printer

Wataalamu wa printer

Joined
Aug 31, 2017
Posts
30
Reaction score
33
Habari wadau. Nina printer yangu, epson L3210, Nozzle check ya printer Iko safi, nimefanya power cleaning mara kadhaa Ila Bado ukiprint kuna mistari midogo inaacha. Mistari myeupe ambayo inakata kwenye maandishi. Sio coloured lines, unprinted lines.
 

Attachments

  • IMG_20250611_112849_418.jpg
    IMG_20250611_112849_418.jpg
    588.7 KB · Views: 21
  • IMG_20250611_112811_840.jpg
    IMG_20250611_112811_840.jpg
    646.1 KB · Views: 20
Back
Top Bottom