Thailand
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 262
- 778
Habarini za muda huu ndugu!
Nipende ku declare interest kwanza; kwamba mimi sio mwamini wa Ndoto kabisa za usiku.
Imekuwa mara kwa mara naota naimba yaani Mimi ni Mwimbaji wa levo za juu kabisa. Nimekuwa nikipuuzia sana hii ndoto kwa sababu mimi najionaga sina kipaji cha kuimba Muziki halafu siwezi harakati za mziki kwa sababu kwa sasa nina miaka 30 hivyo naona nishapitwa na muda wa ku hustle kwa ajili ya mziki.
Cha kushangaza jana usiku pia nimeota naimba, wimbo hakika ulikuwa mzuri sana. Ajabu aliyekuwa ananifundisha kuimba wimbo huo ni kiongozi aliyejitambulisha kwamba ni Yesu. Wimbo nilikuwa naimba ulikuwa wa kumsifu Mungu: hakika wimbo huu nilikuwa nikiuimba kwa ufanisi mkubwa. Lakini kiongozi (Yesu) huyu aliniambia kuna kijana kutoka Morogoro na mwingine ambaye jumla tutakuwa watatu tukiimba kwa viwango vya juu sana.
Ajabu wimbo ambao nimeuimba kwa ufanisi usiku, nikiamka asubuhi si ukumbuki hata kidogo.
Wadau nisaidieni tafsiri ya hii ndoto.
Nipende ku declare interest kwanza; kwamba mimi sio mwamini wa Ndoto kabisa za usiku.
Imekuwa mara kwa mara naota naimba yaani Mimi ni Mwimbaji wa levo za juu kabisa. Nimekuwa nikipuuzia sana hii ndoto kwa sababu mimi najionaga sina kipaji cha kuimba Muziki halafu siwezi harakati za mziki kwa sababu kwa sasa nina miaka 30 hivyo naona nishapitwa na muda wa ku hustle kwa ajili ya mziki.
Cha kushangaza jana usiku pia nimeota naimba, wimbo hakika ulikuwa mzuri sana. Ajabu aliyekuwa ananifundisha kuimba wimbo huo ni kiongozi aliyejitambulisha kwamba ni Yesu. Wimbo nilikuwa naimba ulikuwa wa kumsifu Mungu: hakika wimbo huu nilikuwa nikiuimba kwa ufanisi mkubwa. Lakini kiongozi (Yesu) huyu aliniambia kuna kijana kutoka Morogoro na mwingine ambaye jumla tutakuwa watatu tukiimba kwa viwango vya juu sana.
Ajabu wimbo ambao nimeuimba kwa ufanisi usiku, nikiamka asubuhi si ukumbuki hata kidogo.
Wadau nisaidieni tafsiri ya hii ndoto.