Kiaje ndugu? Mi sijaongea habari za boda boda wala mkopo. Ila nineomba msaada kwa wenye ujuziNdo nyie mnashawishi watu ku copper boda boda alafu wawe wanarudisha kila siku 20000... Mi naogopa sana piki piki za mkopo...
How?Du inasikitisha sana
Hujaona mtu mwenyewe ni Poor Brain ?Kiaje ndugu? Mi sijaongea habari za boda boda wala mkopo. Ila nineomba msaada kwa wenye ujuzi
Kaongelea ishu za ku copper hapo mkuuHujaona mtu mwenyewe ni Poor Brain ?
Faza naskia walikupiga ban kisa kuweka picha ya bosi hapo dp yakoToa hela hakuna ushauri wa bure ambao wewe unaenda kunufaika....heshimuni taalama za watu unless aje msomi mjinga asiyejua umuhimu wa kupoteza ada yake chuoni akupe hizo hints bure.
Si mambo ya ku copper na kupata results auKiaje ndugu? Mi sijaongea habari za boda boda wala mkopo. Ila nineomba msaada kwa wenye ujuzi
HaPana. Copper ni aina ya madinSi mambo ya ku copper na kupata results au
Elezea sasa mkuuHa
HaPana. Copper ni aina ya madin
Na kwel ndo nimeonaHujaona mtu mwenyewe ni Poor Brain ?
Ndo nishaelezea kwenye post juu kuleElezea sasa mkuu
Cc Mbaga JrDu inasikitisha sana
Wasabato wapi na wapi kwenye madini?Habarini wadau. Kwa mwenye ujuzi na madini haswa laboratory results. Matokea mazuri kwa upande wa copper huwani kuanzia % ngapi . Namaanisha results ambayo inaonyesha copper ina kiwango na inafaa kwa kuuzwa na pia bei ya ton 1 copper ni bei gani??.
Taaluma ya mtu utaijuaje humu bila kchangia kwenye ishu km hii. Sikujua km hadi humu kuna watu viazi km facebook.Toa hela hakuna ushauri wa bure ambao wewe unaenda kunufaika....heshimuni taalama za watu unless aje msomi mjinga asiyejua umuhimu wa kupoteza ada yake chuoni akupe hizo hints bure.
😂😂😂Mr ebu usifanye tuone jina linasadifu yaliyomo, huo muunganiko uliofanya kopa na copper Mungu anakuonaSi mambo ya ku copper na kupata results au
Habarini wadau. Kwa mwenye ujuzi na madini haswa laboratory results. Matokea mazuri kwa upande wa copper huwani kuanzia % ngapi . Namaanisha results ambayo inaonyesha copper ina kiwango na inafaa kwa kuuzwa na pia bei ya ton 1 copper ni bei gani??.
Mkuu wewe unakopesha madini kwani..?Ndo nishaelezea kwenye post juu kule