Wataalamu wa hali ya hewa(TMA) nisaidieni hapa

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,402
74,004
Juzi nimesafiri toka Kanda ya ziwa mpaka Dar. Njia nzima mpaka Morogoro ni mvua tupu, kubwa. Kusini vile vile ni mvua kubwa Lindi, Mtwana na Nyanda za juu kusini, ni mvua tupu.
Kufika Tanga na Dar ni kukavu kabisa.. Kuna sababu zozote za kisayansi kuelezea hali hiyo?
 
Huku dar na tanga imepumzika hizi siku 2 tu, vinginevyo ilikuwa ni mtafutano kule mitaa ya jangwani na tandale kwa mfuga mbwa..
 
Juzi nimesafiri toka Kanda ya ziwa mpaka Dar. Njia nzima mpaka Morogoro ni mvua tupu, kubwa. Kusini vile vile ni mvua kubwa Lindi, Mtwana na Nyanda za juu kusini, ni mvua tupu.
Kufika Tanga na Dar ni kukavu kabisa.. Kuna sababu zozote za kisayansi kuelezea hali hiyo?
Sasa cha ajabu ni nini hapo?!!!!!kwa kawaida kwa dar msimu wa mvua za masika bado hadi kuanzia mwezi wa 3 lakini kwa mikoa mikoa mingi huu ni msimu wa mvua japo zimekuwa kwa kiwando kupita wastani!!Dar ndio mkoa wa mwisho kupata mvua za masika
 
Juzi nimesafiri toka Kanda ya ziwa mpaka Dar. Njia nzima mpaka Morogoro ni mvua tupu, kubwa. Kusini vile vile ni mvua kubwa Lindi, Mtwana na Nyanda za juu kusini, ni mvua tupu.
Kufika Tanga na Dar ni kukavu kabisa.. Kuna sababu zozote za kisayansi kuelezea hali hiyo?
Ila kwny taarifa zao huwa wanaanza na neno Utabiri wa masaa 24...kuhusu hali ya hewa
 
Back
Top Bottom