Wataalamu wa Blackberry

Wataalamu wa Blackberry

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,365
Reaction score
27,761
wakuu natumia BB 9900,.

Naombeni msaada wenu ni jinsi gani naweza kutumia Megabytes ninazopewa kutokana na bundle za kawaida ninazonunua tofauti na kujiunga na special bundle kwa ajili ya internet!!

Natanguliza shukrani wadau
 
Download Operamini for browsing na downloading ndogo ndogo
ipo ipo pia trick ya kuinstall whatssap na ukaitumia kwa bundle la kawaida, google kwa sana
 
Download Operamini for browsing na downloading ndogo ndogo
ipo ipo pia trick ya kuinstall whatssap na ukaitumia kwa bundle la kawaida, google kwa sana

sijakupata mkuu,. Ina maana nikishadownload Opera mini hakuna haja tena ya kujiunga na Special bundle za BB
 
wakuu natumia BB 9900,.

Naombeni msaada wenu ni jinsi gani naweza kutumia Megabytes ninazopewa kutokana na bundle za kawaida ninazonunua tofauti na kujiunga na special bundle kwa ajili ya internet!!

Natanguliza shukrani wadau
mkuu, download blackberry setup for desktop, then uwe unachomeka kwenye computer ndo uwe unatumia vifurushi vyako kama kawaida, yan use your bb device as a modem...
lasivyo hizi njia za panya zakutumia bundle via phone..zinakuaga na expiry date au time
 
sijakupata mkuu,. Ina maana nikishadownload Opera mini hakuna haja tena ya kujiunga na Special bundle za BB
Fanya Settings zifuatazo hapo chini. Tick APN SETTINGS ENABLE, Kisha kwenye USERNAME FOR APN jaza internet
Kwingine kote usijaze kitu, kisha SAVE
BB.PNG
OPERAMINI
Baada ya hapo download Opera mini kwa kutumia WIFI
Hii utaitumia kusurf website mbali mbali na kufanya download ndogo ndogo

WHATSSAP
Download Whatssap kwa kutumia WIFI pia kisha Fanya settings zifuatazo
Home Screen --> Menu button --> Options --> Applications--> whatsaap messenger --> edit permissions --> Connections --> allow all .--> save --> power off --> battery out---> reboot

NB, Ni vizuri ukatafuta WIFI connection kisha tumia browser ya BB kudownload Whatssap, Operamini na Facebook
 
Nimepata usaidizi kutokana na swali lako kaka, me pia nimepatwa na hiyo shida sikujua nifanyeje. Baada ya kugeuza hizo settings za TCP/IP.Sasa nahitaji kutafuta WI-FI niweke opera mini na whatsapp
 
Back
Top Bottom