laii
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 853
- 1,120
Hii nishati ya biogas niliisikiaga kitambo sana na kwa mara ya kwanza niliiona kwa masista na mabrother wa Kikatholic kule Kilacha, ya kwao inatokana na mavi ya n'gombe,japo nasikia mavi ya wanyama wengine kwa mfano nguruwe hutumika pia.
Swali nikitaka project hii ya biogas lazima niwe na mifugo nyumbani kwangu,au naweza kununua mbolea ya wanyama na kuijaza kwenye yale mashimo yanayotengenezwa kwa ajili ya kutoa gas hii na nikapata gas bila matatizo.
Vipi mavi ya binadamu hayafaii???
Nakaribisha maoni, ushauri wa kitaalamu
Swali nikitaka project hii ya biogas lazima niwe na mifugo nyumbani kwangu,au naweza kununua mbolea ya wanyama na kuijaza kwenye yale mashimo yanayotengenezwa kwa ajili ya kutoa gas hii na nikapata gas bila matatizo.
Vipi mavi ya binadamu hayafaii???
Nakaribisha maoni, ushauri wa kitaalamu