Wataalamu wa android smart phone nisaidien nisaidieni

Wataalamu wa android smart phone nisaidien nisaidieni

Dishunga

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
276
Reaction score
58
ndugu zangun mi nina tecno m3 ilikuwa inapiga kazi fresh,nimeinstall avast antivirus kwa ajili yaulinz wa sim yangu but nilipokuwa naijaribu kwa kutumia pc nikakuta nimetuma command ya kulock so simu imeblock now nimejaribu kutuma command ya kuunlock inaniambia timeout baadae imeonyesha command imeenda lakin simu bado imeblock inaonyesha sehemu ya ku enter pin nimeingiza my avast pin inasema wrong pin.command nyingine kama siren on,siren off zinzpiga kaz fresh.msaada wenu jaman unahitajika cm haina hata mwez
 
Solution ha fasta fasta washa simu yako katika restore mode, wipe data kila kitu kianze upya..
Zima sima, hold power button na volume key up, nyingine hua zinakubali volume key down.. Itawaka katika restore mode, tafuta wipe.. Hii itafuta settings zote na apps ulizonazo kwenye simu, memory card itabaki bila kuguswa ila vitu kama names saved in phone utazisahau, unless zipo kwenye sim card... Na usitumie hayo ma antivirus ya nini... Ninatumia android miaka mingi sasa sijawahi weka antivirus mbona sijapata shida, yanakula tu betri kurun in background
 
Ok,hapo lazima utumie pin ambayo huwa unatumia kwenye ku unlock keypad cm ikijifunga km ni password au pattern hizo ndo pekee mi nizojua waweza tumia hebu jaribu mkuu
 
ok,hapo lazima utumie pin ambayo huwa unatumia kwenye ku unlock keypad cm ikijifunga km ni password au pattern hizo ndo pekee mi nizojua waweza tumia hebu jaribu mkuu

zimegoma kaka mkubwa
 
Hapo mkuu ngoja tusubiri watalamu naamini humu utawapata tu pole sana mkuu
 
solution ha fasta fasta washa simu yako katika restore mode, wipe data kila kitu kianze upya..
Zima sima, hold power button na volume key up, nyingine hua zinakubali volume key down.. Itawaka katika restore mode, tafuta wipe.. Hii itafuta settings zote na apps ulizonazo kwenye simu, memory card itabaki bila kuguswa ila vitu kama names saved in phone utazisahau, unless zipo kwenye sim card... Na usitumie hayo ma antivirus ya nini... Ninatumia android miaka mingi sasa sijawahi weka antivirus mbona sijapata shida, yanakula tu betri kurun in background

ndo najaribu mkuu
 
solution ha fasta fasta washa simu yako katika restore mode, wipe data kila kitu kianze upya..
Zima sima, hold power button na volume key up, nyingine hua zinakubali volume key down.. Itawaka katika restore mode, tafuta wipe.. Hii itafuta settings zote na apps ulizonazo kwenye simu, memory card itabaki bila kuguswa ila vitu kama names saved in phone utazisahau, unless zipo kwenye sim card... Na usitumie hayo ma antivirus ya nini... Ninatumia android miaka mingi sasa sijawahi weka antivirus mbona sijapata shida, yanakula tu betri kurun in background

asante mkuu nimefanikiwa mungu akubariki sasa sana. Jf idumu
 
Nimefanikiwa wakuu asanteni sana kwa mchango wenu
 
si niliskia watu wanaisifia avast humu inazuia hadi kuwipe simu imekuwaje tena?

NingaR
 
Last edited by a moderator:
Simu zote zinazotumia Android zinapokwama, unatakiwe ubonyeze button ya Volume Up na button ya Power On kwa pamoja kwa dakika moja ndipo zinafunguka tena. Android OS ni wrapper iliyoandikwa katika Java, kernel yake ni Linux ambayo inapatikana bure.
 
si niliskia watu wanaisifia avast humu inazuia hadi kuwipe simu imekuwaje tena?

NingaR

Nilisema kua inakua Hard reset proof sio inazuia ku wipe, na hii feature ya hard reset proof ni kwa roted phones na iwe enabled, kama mdau angekua amei-enable ku wipe kusinge msaidia kitu.
 
Nina suali nina simu samsung galaxy s5 nataka kuifanyia hard reset bt kila nikibonyeza power na volume up or down inawaka mwanzo mpaka s5 inazima inawaka tena ndo ivo ivo tu
 
Nina suali nina simu samsung galaxy s5 nataka kuifanyia hard reset bt kila nikibonyeza power na volume up or down inawaka mwanzo mpaka s5 inazima inawaka tena ndo ivo ivo tu

Boot recovery mode by pressing and holding Volume Up, Home and Power, all at the same time.
 
Back
Top Bottom