zakayoyoung
Senior Member
- Apr 9, 2019
- 140
- 38
Wakuu wa mambo haya nisaidieni namna ya kujua Aplifier inatakiwa itumie input power volt ngapi kwa kutumia multimeter na namna ya kujua kuwa Amplifier imetoa watt ngapi na inatakiwa nitumie spiker ya ohms ngapi au watt ngapi ili ziendane.. yani yote hayo nataka kuyafahamu kwa kutumia multimeter....
Wajuzi nisaidieni maana nimejaribu kuunda amplifier kwa kutumia IC aina ya TDA2050 afu power supply yake nimetumia ya v6 afu spika nikaweka ya watt 5 ililia vizuri lakini spika ilichanika ndani ya nusu saa tu.
Ndiomaana nimeamua kuuliza ili nifahamu namna ya kupagilia ili amplifier itoe sauti Quality....nisaidieni wakuu nawaomba
Asante sana.
Wajuzi nisaidieni maana nimejaribu kuunda amplifier kwa kutumia IC aina ya TDA2050 afu power supply yake nimetumia ya v6 afu spika nikaweka ya watt 5 ililia vizuri lakini spika ilichanika ndani ya nusu saa tu.
Ndiomaana nimeamua kuuliza ili nifahamu namna ya kupagilia ili amplifier itoe sauti Quality....nisaidieni wakuu nawaomba
Asante sana.
