Wataalamu Hawa Wachunguzwe! Je, Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!"

Naomba kwenye hiyo TUME ya Kibunge ambayo Speaker ataunda, Please, Please, Tundu Lissu, Hussein Bashe, Eribalick Kingu, Zitto Kabwe wawemo, Tafadhari sana Bwana Ndugai.

Nakwambia, hao wawekezaji wataumbuka ikiwa Rais ataamua kuleta wataalamu na mitambo maalum kuangalia kilichomo, zile scanner pale Bandarini ndizo zilizotoa alarm kwa watendaji wa serikali kwamba, humu ndani ya kontena kuna dhahabu si mchanga tu
Hao akina Bashe ,Tundu ,Zitto kwa mahaba waliyonayo upande wa pili watadai huo mchanga hauna dhahabu ili tu maksudi waiabishe serikali kwa manufaa yao ya kisiasa.Hao ni watu wa kutumikia watu na sio serikali,hawafai.
 
Naomba kwenye hiyo TUME ya Kibunge ambayo Speaker ataunda, Please, Please, Tundu Lissu, Hussein Bashe, Eribalick Kingu, Zitto Kabwe wawemo, Tafadhari sana Bwana Ndugai.

Nakwambia, hao wawekezaji wataumbuka ikiwa Rais ataamua kuleta wataalamu na mitambo maalum kuangalia kilichomo, zile scanner pale Bandarini ndizo zilizotoa alarm kwa watendaji wa serikali kwamba, humu ndani ya kontena kuna dhahabu si mchanga tu
Kama mkuu angesikiliza hii mbona jibu lingepatikana saaafi kabisa,tatizo atawachagua walewale wenye njaa
 
Hata kama mikataba walioingia Na nchi inawaruhusu kuchukua huo mchanga Sasa ndio tuseme hatuwezi kubadili makubaliano? Kwani hayo makubaliano Ni Quran kwamba iko Sealed Na hakuruhusiwi mabadiliko? Kwani ukifanya maagano Na mwanzako Na baadaye ukagundua kuwa nia yake ilikuwa Ni ovu Huwezi kufutulia mbali makubaliano hayo? Tukubali kuibiwa tu kwa sababu tulikubaliana? Sheria ngapi zimebadilishwa baada ya kuona hazifai kwa mazingira ya Sasa?
Hilo linawezekana mkuu sheria sio msaafu!
Haya mambo huwezi kuamka na kupiga marufuku tu mkuu!
haya mambo yanagharama zake mkuu.....
Unataka kusema mpaka mchanga unafika bandarini dar muhongo alikuwa hajui chochote? why yupo kimya?
Wote tunapenda tufaidike ila lazma tuchukue tahadhari na maamuzi tunayofanya
 
Na yule Kafumu ni muhusika mkubwa. Anajifanya ana nondo nyingi za madini kumbe kajaa ufisadi tu. Hawa ndio wametufikisha hapa.
 
Mpaka sasa sijaelewa ni kwa nini nguvu nyingi zimeelekezwa kwenye mchanga wakati kule mgodini ambako zaidi ya 80 % ya hiyo dhahabu yutu inazalishwa na hakuna anayeelekea kufuatilia huko kwenye source. Sasa kwa nini tunang'ang'ania mchanga wakati kwenye source wanabeba kimya kimya ........... kupitia chartered planes zinazotua moja kwa moja migodini na kuondokea huko!!

Nakumbuka wakati wa sakata la Buzwagi, ilidaiwa kuwa kwenye mikataba yetu ya madini tunapata only 3.5 % ya faida pamoja na Royalties ambazo uchambaji anatoa kwa jinsi anavyojisikia. Lini hii itarekebishwa!!?
 
Wanabodi,
Hii ndio Ripoti ya kitaalamu iliyotoa go ahead mchanga wa dhahabu uendelee kusafirishwa nje kwa hoja kuwa Tanzania hatuwezi!. Kwa vile hii ni ripoti ya kitaalamu, na mimi sio mtaalamu, naomba kuwauliza wenye mwanga na mambo haya,
Mkuu Hata Kama kungekuwa Na Smelter za capacity ndogo huko China Na Japan walikokwenda bado hapa nyumbani Kuna mtaalamu mmoja angeweza ku-design Na kutengeneza mtambo kama huo.Aliwahi kutengeneza device ya kuwalinda Tembo Lakini wahusika hawakujali.Tatizo letu Ni kutothamini Watu wetu wa ndani.Tunao Watu humu ndani wameshiba ujuzi, maarifa, vipaji lukuki ila mitaji ndio inawakosesha kufanya makubwa.Huyo ninayemsema amegundua mashine(printer) ya 3D ya kuprinti 3D objects sio image.Na amefanya mambo mengi sana.Kwa Sasa pia amegundua Digital Microscope ambayo inaona microorganisms Na kuwa-count yenyewe bila msaada wa Technician Na unaweza kuprint results za laboratory au ku-share Na daktari matokeo direct bila kusubiria kuandikiwa Na Technician.Kwa Hiyo kinachotukwamisha Ni wizi Na kutaka tujenge magorofa Na kuendesha magari ya kifahari badala ya kutanguliza maslahi mapana.


Jee kunauwezekano wataalamu wetu hawa walihongwa na makampuni ya madini ili kutoa ripoti hii, hivyo wachunguzwe na ikukutikana ni kweli, sheria ichukue mkondo wake?. Kwa Ripoti h
ii kuwa Tanzania Hutuwezi kujenga smelter ya mchanga wa makanikani ya dhahabu, Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!".
Ripoti yenyewe ni hii kwa hisani ya Mkuu Chige
Mkuu Chige, thanks kwa Ripoti hii.
Wanabodi,
Hii ndio Ripoti ya kitaalamu iliyotoa go ahead mchanga wa dhahabu uendelee kusafirishwa nje kwa hoja kuwa Tanzania hatuwezi!. Kwa vile hii ni ripoti ya kitaalamu, na mimi sio mtaalamu, naomba kuwauliza wenye mwanga na mambo haya, Jee kunauwezekano wataalamu wetu hawa walihongwa na makampuni ya madini ili kutoa ripoti hii, hivyo wachunguzwe na ikukutikana ni kweli, sheria ichukue mkondo wake?. Kwa Ripoti hii kuwa Tanzania Hutuwezi kujenga smelter ya mchanga wa makanikani ya dhahabu, Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!".

Ripoti yenyewe ni hii kwa hisani ya Mkuu Chige.

Mkuu Chige, thanks kwa Ripoti hii.

Natoa wito kwa Wataalam waliyo tayarisha, Ripoti hii, watafutwe, wachunguzwe, watakuwa walihongwa na makampuni ya madini, ili watoe Ripoti kuonyesha Tanzania hatuwezi, hivyo washitakiwe, hawa ndio waliosababisha Tanzania tuendelee kuibiwa dhahabu yetu kwa kudanganywa kuwa ni mchanga!.

Japo mimi sio mtaalamu wa madini, lakini ni Mtanzania wa kawaida kabisa ninaejua kusoma na kuandika tuu, kwa kuisoma ripoti tuu Ripoti hii, utaona wazi wazi kabisa, wataalamu hawa walihongwa, wakatafuna fedha za umma kufanya ziara za China na Japan kisha kutujia na ripoti hii ambayo ni wizi mtupu!.

Hao makampuni ya madini kwa vyovyote vile watakuwa waliwahonga wataalamu hawa kutoa ripoti hii, ili waendelee kuiba dhahabu yetu kwa kutudanganya ni mchanga!, hivyo sasa Magufuli, leta ule mtambo mdogo, tuuchenjue wenyewe huu mchanga wote ulikamatwa, kisha kiasi cha dhahabu kitakacho patikana, kitazidishwa mara idadi ya makontena yote ya mchanga, waliowahi kusafirisha nje!, tangu waanze kuchimba, kisha watulipe kila senti ya dhahabu waliotuibia, wezi wakubwa hawa!.
Observation yangu.
1.Conclusion yao imesema hivi "The study concludes that it is currently not feasible for a Copper Concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate produced by BGM and BZGM. However, investors are encouraged to explore more on possibilities of discovering copper deposits which will warrant for installation of a Copper Concentrate smelter in the Country."
Hii ndio iliyohalalisha huu wizi!.

2. Kwenye ripoti yao wameonyesha wametembelea China na Japani zenye smelter kubwa zinazohitaji tani 150,000 za mchanga kwa mwaka ambazo zinagharimu dola USD 500 million hadi USD 800 millioni ili tushindwe, kwa sababu hatuna mchanga mwingi kihivyo, na pesa hiyo ni pesa ndefu ili tuu wezi hawa waendelee kutuibia, ila ukweli ni kuwa kuna smelter ndogo za hadi ya tani 30 tuu kama ile ya Stillwater Mining ya nchini Marekani inayogharimu dola milioni 300 tuu!. Kwanini hawakwenda huko?!.

3. Ripoti hiyo imeonyesha taarifa ya kupika kuonyesha mchanga huo una kiwango kikubwa cha cha shaba na dhahabu kiduchu tuu ili tusijue tunaibiwa!, kwa kuonyesha copper (average assay 15%), gold(average assay 0.02%) and silver (average assay 0.02%), copper being in higher concentration than the rest, hence the product named Copper Concentrate hivyo kuonyesha hakuna faida yoyote ya maana, wakati ripoti za kijilojia zinaonyesha viwango tofauti vya dhahabu, shaba na fedha.
  • The Bulyanhulu Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging 0.0015% gold, 0.52% copper and 0.00114% silver. It has a mineable resource of 13.64 million tonnes. It commenced production in 2001 with an average annual production of Copper Concentrate of 50,000 tonnes (source: Opportunities for Mineral Resource Development, 2005).

  • The Buzwagi Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging at 2.10 grams per tonne, 0.14% copper and 0.00115% silver. It has a mineable resource of 41 million tonnes. It commenced production in 2009 with an average annual production of Copper Concentrate of 10,000 tonnes.
4. Mwisho ripoti hiyo ikatoa vitisho kibao kuhusu athari za kimazingira ili kutukatisha kabisa tamaa tusithubutu hata kujaribu, kwa kuorodhesha haya masumu kibao, tukijaribu tuu, tutaua watu wetu..
  • Depending on the composition of the Copper Concentrate, a number of heavy metals such as copper, mercury, cadmium, nickel, cobalt, zinc and so forth may be concentrated through processing and be deposited to the environment. These metals may enter into the human blood system by inhalation or by being ingested from heavy metal contaminated species (animals, fish, plants, etc).

    Heavy metal toxicity can result in damaged or reduced mental and central nervous function, lower energy levels, and damage to blood composition, lungs, kidneys, liver, and other vital organs. Long-term exposure may result in slowly progressing physical, muscular, and neurological degenerative processes that mimic Alzheimer's disease, Parkinson's disease, muscular dystrophy, and multiple sclerosis.

  • Crystalline silica, when inhaled can cause silicosis of the lung both to humans and animals;

  • Carbon dioxide produced during smelting of Copper Concentrate can result into acid rain, which is harmful to plants;

  • Chemicals/reagents used in smelting process can be harmful to humans especially to staff exposed to them.

  • Waste products from Copper Concentrate may amount to billions of tonnes. The tailings from the concentrating operation and the slag from the smelting operation do pose a potential health hazard and may require huge expenses to protect and manage the affected areas.
Swali ni jee kwani huko wanakosafisha, wanafanya nini kukabiliana na athari hizi?, na sisi tukianzisha si tutakabiliana nazo?. Au hii migodi iliyopo inatoa sumu hizo hizo, kwani wanafanyaje?, hilo smelter tukalijenge kule kwenye visiwa visivyo na watu, au maporini kabisa!.

Haiwezekani watu wahangaike hivyo kusafirisha makontena milioni toka Tanzania hadi Japan for nothing kama tunavyoelezwa na ripoti hii!, msikute rais wetu hili alioteshwa na Mungu mwenyewe, na kama issue ni Tanzania hatuna umeme wa kutosha, tnaweza kukubaliana kila siku umeme nchi nchi nzima ni hadi saa 6 usiku, hadi 12:00 asubuhi, isipokuwa taasisi muhimu, kisha umeme wote wa gridi uende kwenye smelter just 6 hours daily.

Mnaonaje jameni wachunguzwe, au wenye utaalam, tusaidieni hii kitu iko sawa?!.
Kama iko sawa jee rais wetu ataimeza amri yake na huo mchanga utachunguzwa tuu kisha kuendelea kusafirishwa?!.

Paskali


Natoa wito kwa Wataalam waliyo tayarisha, Ripoti hii, watafutwe, wachunguzwe, watakuwa walihongwa na makampuni ya madini, ili watoe Ripoti kuonyesha Tanzania hatuwezi, hivyo washitakiwe, hawa ndio waliosababisha Tanzania tuendelee kuibiwa dhahabu yetu kwa kudanganywa kuwa ni mchanga!.

Japo mimi sio mtaalamu wa madini, lakini ni Mtanzania wa kawaida kabisa ninaejua kusoma na kuandika tuu, kwa kuisoma ripoti tuu Ripoti hii, utaona wazi wazi kabisa, wataalamu hawa walihongwa, wakatafuna fedha za umma kufanya ziara za China na Japan kisha kutujia na ripoti hii ambayo ni wizi mtupu!.

Hao makampuni ya madini kwa vyovyote vile watakuwa waliwahonga wataalamu hawa kutoa ripoti hii, ili waendelee kuiba dhahabu yetu kwa kutudanganya ni mchanga!, hivyo sasa Magufuli, leta ule mtambo mdogo, tuuchenjue wenyewe huu mchanga wote ulikamatwa, kisha kiasi cha dhahabu kitakacho patikana, kitazidishwa mara idadi ya makontena yote ya mchanga, waliowahi kusafirisha nje!, tangu waanze kuchimba, kisha watulipe kila senti ya dhahabu waliotuibia, wezi wakubwa hawa!.
Observation yangu.
1.Conclusion yao imesema hivi "The study concludes that it is currently not feasible for a Copper Concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate produced by BGM and BZGM. However, investors are encouraged to explore more on possibilities of discovering copper deposits which will warrant for installation of a Copper Concentrate smelter in the Country."
Hii ndio iliyohalalisha huu wizi!.

2. Kwenye ripoti yao wameonyesha wametembelea China na Japani zenye smelter kubwa zinazohitaji tani 150,000 za mchanga kwa mwaka ambazo zinagharimu dola USD 500 million hadi USD 800 millioni ili tushindwe, kwa sababu hatuna mchanga mwingi kihivyo, na pesa hiyo ni pesa ndefu ili tuu wezi hawa waendelee kutuibia, ila ukweli ni kuwa kuna smelter ndogo za hadi ya tani 30 tuu kama ile ya Stillwater Mining ya nchini Marekani inayogharimu dola milioni 300 tuu!. Kwanini hawakwenda huko?!.

3. Ripoti hiyo imeonyesha taarifa ya kupika kuonyesha mchanga huo una kiwango kikubwa cha cha shaba na dhahabu kiduchu tuu ili tusijue tunaibiwa!, kwa kuonyesha copper (average assay 15%), gold(average assay 0.02%) and silver (average assay 0.02%), copper being in higher concentration than the rest, hence the product named Copper Concentrate hivyo kuonyesha hakuna faida yoyote ya maana, wakati ripoti za kijilojia zinaonyesha viwango tofauti vya dhahabu, shaba na fedha.
  • The Bulyanhulu Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging 0.0015% gold, 0.52% copper and 0.00114% silver. It has a mineable resource of 13.64 million tonnes. It commenced production in 2001 with an average annual production of Copper Concentrate of 50,000 tonnes (source: Opportunities for Mineral Resource Development, 2005).

  • The Buzwagi Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging at 2.10 grams per tonne, 0.14% copper and 0.00115% silver. It has a mineable resource of 41 million tonnes. It commenced production in 2009 with an average annual production of Copper Concentrate of 10,000 tonnes.
4. Mwisho ripoti hiyo ikatoa vitisho kibao kuhusu athari za kimazingira ili kutukatisha kabisa tamaa tusithubutu hata kujaribu, kwa kuorodhesha haya masumu kibao, tukijaribu tuu, tutaua watu wetu..
  • Depending on the composition of the Copper Concentrate, a number of heavy metals such as copper, mercury, cadmium, nickel, cobalt, zinc and so forth may be concentrated through processing and be deposited to the environment. These metals may enter into the human blood system by inhalation or by being ingested from heavy metal contaminated species (animals, fish, plants, etc).

    Heavy metal toxicity can result in damaged or reduced mental and central nervous function, lower energy levels, and damage to blood composition, lungs, kidneys, liver, and other vital organs. Long-term exposure may result in slowly progressing physical, muscular, and neurological degenerative processes that mimic Alzheimer's disease, Parkinson's disease, muscular dystrophy, and multiple sclerosis.

  • Crystalline silica, when inhaled can cause silicosis of the lung both to humans and animals;

  • Carbon dioxide produced during smelting of Copper Concentrate can result into acid rain, which is harmful to plants;

  • Chemicals/reagents used in smelting process can be harmful to humans especially to staff exposed to them.

  • Waste products from Copper Concentrate may amount to billions of tonnes. The tailings from the concentrating operation and the slag from the smelting operation do pose a potential health hazard and may require huge expenses to protect and manage the affected areas.
Swali ni jee kwani huko wanakosafisha, wanafanya nini kukabiliana na athari hizi?, na sisi tukianzisha si tutakabiliana nazo?. Au hii migodi iliyopo inatoa sumu hizo hizo, kwani wanafanyaje?, hilo smelter tukalijenge kule kwenye visiwa visivyo na watu, au maporini kabisa!.

Haiwezekani watu wahangaike hivyo kusafirisha makontena milioni toka Tanzania hadi Japan for nothing kama tunavyoelezwa na ripoti hii!, msikute rais wetu hili alioteshwa na Mungu mwenyewe, na kama issue ni Tanzania hatuna umeme wa kutosha, tnaweza kukubaliana kila siku umeme nchi nchi nzima ni hadi saa 6 usiku, hadi 12:00 asubuhi, isipokuwa taasisi muhimu, kisha umeme wote wa gridi uende kwenye smelter just 6 hours daily.

Mnaonaje jameni wachunguzwe, au wenye utaalam, tusaidieni hii kitu iko sawa?!.
Kama iko sawa jee rais wetu ataimeza amri yake na huo mchanga utachunguzwa tuu kisha kuendelea kusafirishwa?!.

Paskali
 
Paskali, kumbuka tafiti hupingwa na tafiti. Nimeisoma vizuri na kuielewa hiyo ripoti. Tuwape muda watafiti na wataalamu watueleze ni kipi tusichokifahamu. Sina mengi sana ningewaomba wanaukumbi wamsikilize Profesa Haji Semboja:

Anachokisema ndicho kipo kwenye hiyo report kuwa uzalishaji wetu ni 60,000tons na smelter zilizopo capacity ni 150000tons.
Faida ya hizi changamoto zinazoibuka zitasaidia tuhitimishe na best soln.
Pia hapo unachambuliwa huo utafiti kwa maelezo yake wenyewe hakuna maarifa ya nje.

Stillwater Mining Company
Hapo juu ni moja ya mfano .
Utagundua mwaka 1999 hawa walianza project ya kujenga smelter ikaisha na kuanza operation 2002.
Kwa miaka hiyo ilikuwa na Uwezo wa kuprocess tan 100 kwa siku Sawa na 36600 kwa mwaka ambayo kwa kwetu ni sina uhakika wenda ni feasible.
Na kwa Mujibu report hiyo hiyo hiyo smelter inachakata concentrate ila kwa wao interest yao sio copper wala gold Bali ni smelting by products yaani platnum group metals. Hapo ni miaka 15 iliyopita huoni kama Kuna uwezekano asilimia kadhaa hapo ya uwezekano baada ya kuegemea takwimu zinazofavor exportation.

Wanaweza kuja kueleza kwa kina pia.... Maana lengo ni kujenga sio kushatkiana au kushtumiana
 
Mpaka sasa sijaelewa ni kwa nini nguvu nyingi zimeelekezwa kwenye mchanga wakati kule mgodini ambako zaidi ya 80 % ya hiyo dhahabu inabidi ipatikane hakuna anayeelekea kufuatilia. Sasa kwa nini tunang'ang'ania mchnga wakati kwenye source wanabeba kimya kimya ........... kupitia chartered planes zinazotua moja kwa moja migodini na kuondokea huko!!

Nakumbuka wakati wa sakata la Buzwagi, ilidaiwa kuwa kwenye mikataba yetu ya madini tunapata only 3.5 % ya faida pamoja na Royalties ambazo uchambaji anatoa kwa jinsi anavyojisikia. Lini hii itarekebishwa!!?
Hilo la kubeba kimya kimya sio kweli na ufafanuzi umeshatolewa mkuu. Sikumbuki link ila video ipo youtube. Ndio maana husikii wala hutamsikia mtu kama zzk aliyekuwa anakomaa na mambo hayo akiyasema leo.
 
Sheria mbovu ndio zinazofanya tuibiwe,mikataba ikabidhiwe kwa Tundu Lissu akishirikiana na AG waipitie upya na kutoa mapendekezo yatakaoyokomesha wizi wa waziwazi.
 
Gram mbili kwa tani ya mchanga halafu unapiga kelele unataka ujengwe mtambo wenye thamani ya $500million ? Kuna mtu sio salama mukichwa
Wataalam waliomwambia Makufuli tunaibiwa watupe takwimu pinzani
Kukurupuka kubaya sana
 
Wanabodi,
Hii ndio Ripoti ya kitaalamu iliyotoa go ahead mchanga wa dhahabu uendelee kusafirishwa nje kwa hoja kuwa Tanzania hatuwezi!. Kwa vile hii ni ripoti ya kitaalamu, na mimi sio mtaalamu, naomba kuwauliza wenye mwanga na mambo haya, Jee kunauwezekano wataalamu wetu hawa walihongwa na makampuni ya madini ili kutoa ripoti hii, hivyo wachunguzwe na ikukutikana ni kweli, sheria ichukue mkondo wake?. Kwa Ripoti hii kuwa Tanzania Hutuwezi kujenga smelter ya mchanga wa makanikani ya dhahabu, Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!".

Ripoti yenyewe ni hii kwa hisani ya Mkuu Chige.

Mkuu Chige, thanks kwa Ripoti hii.

Natoa wito kwa Wataalam waliyo tayarisha, Ripoti hii, watafutwe, wachunguzwe, watakuwa walihongwa na makampuni ya madini, ili watoe Ripoti kuonyesha Tanzania hatuwezi, hivyo washitakiwe, hawa ndio waliosababisha Tanzania tuendelee kuibiwa dhahabu yetu kwa kudanganywa kuwa ni mchanga!.

Japo mimi sio mtaalamu wa madini, lakini ni Mtanzania wa kawaida kabisa ninaejua kusoma na kuandika tuu, kwa kuisoma ripoti tuu Ripoti hii, utaona wazi wazi kabisa, wataalamu hawa walihongwa, wakatafuna fedha za umma kufanya ziara za China na Japan kisha kutujia na ripoti hii ambayo ni wizi mtupu!.

Hao makampuni ya madini kwa vyovyote vile watakuwa waliwahonga wataalamu hawa kutoa ripoti hii, ili waendelee kuiba dhahabu yetu kwa kutudanganya ni mchanga!, hivyo sasa Magufuli, leta ule mtambo mdogo, tuuchenjue wenyewe huu mchanga wote ulikamatwa, kisha kiasi cha dhahabu kitakacho patikana, kitazidishwa mara idadi ya makontena yote ya mchanga, waliowahi kusafirisha nje!, tangu waanze kuchimba, kisha watulipe kila senti ya dhahabu waliotuibia, wezi wakubwa hawa!.
Observation yangu.
1.Conclusion yao imesema hivi "The study concludes that it is currently not feasible for a Copper Concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate produced by BGM and BZGM. However, investors are encouraged to explore more on possibilities of discovering copper deposits which will warrant for installation of a Copper Concentrate smelter in the Country."
Hii ndio iliyohalalisha huu wizi!.

2. Kwenye ripoti yao wameonyesha wametembelea China na Japani zenye smelter kubwa zinazohitaji tani 150,000 za mchanga kwa mwaka ambazo zinagharimu dola USD 500 million hadi USD 800 millioni ili tushindwe, kwa sababu hatuna mchanga mwingi kihivyo, na pesa hiyo ni pesa ndefu ili tuu wezi hawa waendelee kutuibia, ila ukweli ni kuwa kuna smelter ndogo za hadi ya tani 30 tuu kama ile ya Stillwater Mining ya nchini Marekani inayogharimu dola milioni 300 tuu!. Kwanini hawakwenda huko?!.

3. Ripoti hiyo imeonyesha taarifa ya kupika kuonyesha mchanga huo una kiwango kikubwa cha cha shaba na dhahabu kiduchu tuu ili tusijue tunaibiwa!, kwa kuonyesha copper (average assay 15%), gold(average assay 0.02%) and silver (average assay 0.02%), copper being in higher concentration than the rest, hence the product named Copper Concentrate hivyo kuonyesha hakuna faida yoyote ya maana, wakati ripoti za kijilojia zinaonyesha viwango tofauti vya dhahabu, shaba na fedha.
  • The Bulyanhulu Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging 0.0015% gold, 0.52% copper and 0.00114% silver. It has a mineable resource of 13.64 million tonnes. It commenced production in 2001 with an average annual production of Copper Concentrate of 50,000 tonnes (source: Opportunities for Mineral Resource Development, 2005).

  • The Buzwagi Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging at 2.10 grams per tonne, 0.14% copper and 0.00115% silver. It has a mineable resource of 41 million tonnes. It commenced production in 2009 with an average annual production of Copper Concentrate of 10,000 tonnes.
4. Mwisho ripoti hiyo ikatoa vitisho kibao kuhusu athari za kimazingira ili kutukatisha kabisa tamaa tusithubutu hata kujaribu, kwa kuorodhesha haya masumu kibao, tukijaribu tuu, tutaua watu wetu..
  • Depending on the composition of the Copper Concentrate, a number of heavy metals such as copper, mercury, cadmium, nickel, cobalt, zinc and so forth may be concentrated through processing and be deposited to the environment. These metals may enter into the human blood system by inhalation or by being ingested from heavy metal contaminated species (animals, fish, plants, etc).

    Heavy metal toxicity can result in damaged or reduced mental and central nervous function, lower energy levels, and damage to blood composition, lungs, kidneys, liver, and other vital organs. Long-term exposure may result in slowly progressing physical, muscular, and neurological degenerative processes that mimic Alzheimer's disease, Parkinson's disease, muscular dystrophy, and multiple sclerosis.

  • Crystalline silica, when inhaled can cause silicosis of the lung both to humans and animals;

  • Carbon dioxide produced during smelting of Copper Concentrate can result into acid rain, which is harmful to plants;

  • Chemicals/reagents used in smelting process can be harmful to humans especially to staff exposed to them.

  • Waste products from Copper Concentrate may amount to billions of tonnes. The tailings from the concentrating operation and the slag from the smelting operation do pose a potential health hazard and may require huge expenses to protect and manage the affected areas.
Swali ni jee kwani huko wanakosafisha, wanafanya nini kukabiliana na athari hizi?, na sisi tukianzisha si tutakabiliana nazo?. Au hii migodi iliyopo inatoa sumu hizo hizo, kwani wanafanyaje?, hilo smelter tukalijenge kule kwenye visiwa visivyo na watu, au maporini kabisa!.

Haiwezekani watu wahangaike hivyo kusafirisha makontena milioni toka Tanzania hadi Japan for nothing kama tunavyoelezwa na ripoti hii!, msikute rais wetu hili alioteshwa na Mungu mwenyewe, na kama issue ni Tanzania hatuna umeme wa kutosha, tnaweza kukubaliana kila siku umeme nchi nchi nzima ni hadi saa 6 usiku, hadi 12:00 asubuhi, isipokuwa taasisi muhimu, kisha umeme wote wa gridi uende kwenye smelter just 6 hours daily.

Mnaonaje jameni wachunguzwe, au wenye utaalam, tusaidieni hii kitu iko sawa?!.
Kama iko sawa jee rais wetu ataimeza amri yake na huo mchanga utachunguzwa tuu kisha kuendelea kusafirishwa?!.

Paskali
Paskali HONGERA sana kwa ufafanuzi mzuri. Tupo pampja kupigania UPORAJI wa rasilimali zetu. JPM endelea na msimamo huo mpaka kila kitu kijulikane. Mimi nitapambana na wanaounga mkono uporaji huu ndani ya JF mpaka kieleweke.
Wanabodi,
Hii ndio Ripoti ya kitaalamu iliyotoa go ahead mchanga wa dhahabu uendelee kusafirishwa nje kwa hoja kuwa Tanzania hatuwezi!. Kwa vile hii ni ripoti ya kitaalamu, na mimi sio mtaalamu, naomba kuwauliza wenye mwanga na mambo haya, Jee kunauwezekano wataalamu wetu hawa walihongwa na makampuni ya madini ili kutoa ripoti hii, hivyo wachunguzwe na ikukutikana ni kweli, sheria ichukue mkondo wake?. Kwa Ripoti hii kuwa Tanzania Hutuwezi kujenga smelter ya mchanga wa makanikani ya dhahabu, Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa Ripoti Kuwa "Tanzania Hatuwezi?!".

Ripoti yenyewe ni hii kwa hisani ya Mkuu Chige.

Mkuu Chige, thanks kwa Ripoti hii.

Natoa wito kwa Wataalam waliyo tayarisha, Ripoti hii, watafutwe, wachunguzwe, watakuwa walihongwa na makampuni ya madini, ili watoe Ripoti kuonyesha Tanzania hatuwezi, hivyo washitakiwe, hawa ndio waliosababisha Tanzania tuendelee kuibiwa dhahabu yetu kwa kudanganywa kuwa ni mchanga!.

Japo mimi sio mtaalamu wa madini, lakini ni Mtanzania wa kawaida kabisa ninaejua kusoma na kuandika tuu, kwa kuisoma ripoti tuu Ripoti hii, utaona wazi wazi kabisa, wataalamu hawa walihongwa, wakatafuna fedha za umma kufanya ziara za China na Japan kisha kutujia na ripoti hii ambayo ni wizi mtupu!.

Hao makampuni ya madini kwa vyovyote vile watakuwa waliwahonga wataalamu hawa kutoa ripoti hii, ili waendelee kuiba dhahabu yetu kwa kutudanganya ni mchanga!, hivyo sasa Magufuli, leta ule mtambo mdogo, tuuchenjue wenyewe huu mchanga wote ulikamatwa, kisha kiasi cha dhahabu kitakacho patikana, kitazidishwa mara idadi ya makontena yote ya mchanga, waliowahi kusafirisha nje!, tangu waanze kuchimba, kisha watulipe kila senti ya dhahabu waliotuibia, wezi wakubwa hawa!.
Observation yangu.
1.Conclusion yao imesema hivi "The study concludes that it is currently not feasible for a Copper Concentrate smelter to be constructed in the country to smelt and refine Copper Concentrate produced by BGM and BZGM. However, investors are encouraged to explore more on possibilities of discovering copper deposits which will warrant for installation of a Copper Concentrate smelter in the Country."
Hii ndio iliyohalalisha huu wizi!.

2. Kwenye ripoti yao wameonyesha wametembelea China na Japani zenye smelter kubwa zinazohitaji tani 150,000 za mchanga kwa mwaka ambazo zinagharimu dola USD 500 million hadi USD 800 millioni ili tushindwe, kwa sababu hatuna mchanga mwingi kihivyo, na pesa hiyo ni pesa ndefu ili tuu wezi hawa waendelee kutuibia, ila ukweli ni kuwa kuna smelter ndogo za hadi ya tani 30 tuu kama ile ya Stillwater Mining ya nchini Marekani inayogharimu dola milioni 300 tuu!. Kwanini hawakwenda huko?!.

3. Ripoti hiyo imeonyesha taarifa ya kupika kuonyesha mchanga huo una kiwango kikubwa cha cha shaba na dhahabu kiduchu tuu ili tusijue tunaibiwa!, kwa kuonyesha copper (average assay 15%), gold(average assay 0.02%) and silver (average assay 0.02%), copper being in higher concentration than the rest, hence the product named Copper Concentrate hivyo kuonyesha hakuna faida yoyote ya maana, wakati ripoti za kijilojia zinaonyesha viwango tofauti vya dhahabu, shaba na fedha.
  • The Bulyanhulu Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging 0.0015% gold, 0.52% copper and 0.00114% silver. It has a mineable resource of 13.64 million tonnes. It commenced production in 2001 with an average annual production of Copper Concentrate of 50,000 tonnes (source: Opportunities for Mineral Resource Development, 2005).

  • The Buzwagi Gold Mine located in Kahama District has a copper deposit with high gold values averaging at 2.10 grams per tonne, 0.14% copper and 0.00115% silver. It has a mineable resource of 41 million tonnes. It commenced production in 2009 with an average annual production of Copper Concentrate of 10,000 tonnes.
4. Mwisho ripoti hiyo ikatoa vitisho kibao kuhusu athari za kimazingira ili kutukatisha kabisa tamaa tusithubutu hata kujaribu, kwa kuorodhesha haya masumu kibao, tukijaribu tuu, tutaua watu wetu..
  • Depending on the composition of the Copper Concentrate, a number of heavy metals such as copper, mercury, cadmium, nickel, cobalt, zinc and so forth may be concentrated through processing and be deposited to the environment. These metals may enter into the human blood system by inhalation or by being ingested from heavy metal contaminated species (animals, fish, plants, etc).

    Heavy metal toxicity can result in damaged or reduced mental and central nervous function, lower energy levels, and damage to blood composition, lungs, kidneys, liver, and other vital organs. Long-term exposure may result in slowly progressing physical, muscular, and neurological degenerative processes that mimic Alzheimer's disease, Parkinson's disease, muscular dystrophy, and multiple sclerosis.

  • Crystalline silica, when inhaled can cause silicosis of the lung both to humans and animals;

  • Carbon dioxide produced during smelting of Copper Concentrate can result into acid rain, which is harmful to plants;

  • Chemicals/reagents used in smelting process can be harmful to humans especially to staff exposed to them.

  • Waste products from Copper Concentrate may amount to billions of tonnes. The tailings from the concentrating operation and the slag from the smelting operation do pose a potential health hazard and may require huge expenses to protect and manage the affected areas.
Swali ni jee kwani huko wanakosafisha, wanafanya nini kukabiliana na athari hizi?, na sisi tukianzisha si tutakabiliana nazo?. Au hii migodi iliyopo inatoa sumu hizo hizo, kwani wanafanyaje?, hilo smelter tukalijenge kule kwenye visiwa visivyo na watu, au maporini kabisa!.

Haiwezekani watu wahangaike hivyo kusafirisha makontena milioni toka Tanzania hadi Japan for nothing kama tunavyoelezwa na ripoti hii!, msikute rais wetu hili alioteshwa na Mungu mwenyewe, na kama issue ni Tanzania hatuna umeme wa kutosha, tnaweza kukubaliana kila siku umeme nchi nchi nzima ni hadi saa 6 usiku, hadi 12:00 asubuhi, isipokuwa taasisi muhimu, kisha umeme wote wa gridi uende kwenye smelter just 6 hours daily.

Mnaonaje jameni wachunguzwe, au wenye utaalam, tusaidieni hii kitu iko sawa?!.
Kama iko sawa jee rais wetu ataimeza amri yake na huo mchanga utachunguzwa tuu kisha kuendelea kusafirishwa?!.

Paskali
 
Sorry navamia mjadala ambao naona chengachenga...
Nnachoelewa mimi mtu anapopewa kibali na eneo la kuchimba madini " chochote anachokikuta mule ni chakwakwe...iwe mchanga, dhahabu nk.....ishu siyo kusafirisha nje, ishu ni ufuatiliaji kilichopelekwa nje kimepatikana kiasi gani, na chetu kiasi gani.
 
Back
Top Bottom