Wataalamu feki wa mapenzi.....

Mwandishi wa nakala hana uwakilishaji mzuri anaweza akawa ana hoja ila communication skills 0% kabisa.
Atuwekee hatimiliki hapa siyo kutupigia pigia kelele.
humu si magazeti ya rangirangi ya 300

asilimia 60 ya gazeti limejaa picha,asilimia 20 matangazo,asilimia 20 ndo maelezo. Na uwasilishwaji wa habari tena habari nyingine hazina hata maana.
 
Kwani wewe unavyoandika siunataka ujumbe ufike, kwani ni vibaya wakikusaidia dhima yako. Au una jingine kwenye izo 'post' zako.
 
Reactions: amu
afu hii tabia ya watu kujiita wataalamu wa mapenzi wakati toka wanazaliwa wameshawahi kuwa na mpenzi mmoja au unakuta mwingine hajawahi kuwa na mpenzi afu anatoa ushauri wa mapenzi..wewe mtu hujaoa unatoa ushauri kwa wanandoa...kuna mambo yakushauri bila kuwa na uzoefu ila mapenzi SIYO,zaidi unakuta mtu anasoma vijarida vya mapenzi mkikutana analeta kurukaruka dakika moja hoi au analeta mapenzi ya kwenye magazeti bila kujua kila mtu ana misingi na miiko yake..andikeni makala za tembo kuuawa na maliasili kupotea hapo hata uzoefu wa vitendo hautakiwi.
 

Wapenzi alionao ukiwaingiza unawapanga toka ofisini kwao sinza kupitia kiofisi kidogo manzese hadi posta.
 

kawashtaki ili intelectual propert law ifanye kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…