Wataalam wa Uchumi, tuelimisheni, Serikal kuzima mtandao, kumetia hasara nchi kwa kiasi gani?

Wataalam wa Uchumi, tuelimisheni, Serikal kuzima mtandao, kumetia hasara nchi kwa kiasi gani?

mkulimamiwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
2,254
Reaction score
4,466
Je, hakuna madai yoyote ya makampuni kuja kudai fidia nchi yetu kwa madai haya ya kuzima mtandao nchi nzima?

Vipi kuhusu usafirishaji wa njia ya bahari na maziwa, sector hizi hazijaathirika na hili

Je, DPW, hawajaathirika na hili? Kama wameathirika, sheria zinasemaje serikali inapoamua tu yenyewe kusababishia hasara makampuni kama haya?

Vipi kuhusu makampuni mengine ambayo hutegemea sana mitandao kuendeshea biashara zake?

Wataalam wa kisheria na uchumi, hili likoje?
 
Je, hakuna madai yoyote ya makampuni kuja kudai fidia nchi yetu kwa madai haya ya kuzima mtandao nchi nzima?

Vipi kuhusu usafirishaji wa njia ya bahari na maziwa, sector hizi hazijaathirika na hili

Je, DPW, hawajaathirika na hili? Kama wameathirika, sheria zinasemaje serikali inapoamua tu yenyewe kusababishia hasara makampuni kama haya?

Vipi kuhusu makampuni mengine ambayo hutegemea sana mitandao kuendeshea biashara zake?

Wataalam wa kisheria na uchumi, hili likoje?
Serikali ya Sa100 imeshalipia hasara zote zilizotokana na hiyo kadhia kupitia Kodi zenu nyie walalahoi, Kwani si mnalipa kodi? Usijali
 
Serikali ya Sa100 imeshalipia hasara zote zilizotokana na hiyo kadhia kupitia Kodi zenu nyie walalahoi, Kwani si mnalipa kodi? Usijali
Mkuu, sidhani kama umenielewa vema
 
Kwakuwa tumechagua kuongozwa na raia wa kigeni mwenye elimu ya hapa na pale,haya ndo madhara yaliyotokea:-
Tanzania ilipata hasara ya zaidi ya dola za Marekani milioni 238 kutokana na kuzimwa kwa mtandao wakati wa uchaguzi mkuu wa 2025.

Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya taasisi ya Paradigm Initiative (PIN), ambayo ilichambua athari za kiuchumi na kijamii za hatua hiyo ya serikali kuzima mtandao.mfano athari za kiuchumi ni Biashara za mtandaoni zilisimama: Wafanyabiashara waliotegemea mitandao ya kijamii na majukwaa ya kidijitali walipoteza mapato kwa siku tano mfululizo. Huduma za kifedha zilitatizika: Miamala ya benki na malipo ya simu ilikwama, hasa kwa watu walioko vijijini.

Pia Mashirika ya habari na mawasiliano: Vyombo vya habari vilishindwa kuripoti kwa wakati, na mashirika ya kimataifa yakalazimika kusitisha shughuli zao kwa muda.

Pia huyu rais muuaji alitutia Hasara ya Kijamii na Kidemokrasia kwa Ukiukwaji wa haki za binadamu: Wananchi walizuiwa kupata taarifa muhimu kuhusu uchafuzi wa damu hali ya usalama, na huduma za dharura.

Pia Kudorora kwa imani ya kimataifa: Tanzania ilikosolewa vikali na mashirika ya kimataifa kwa kutumia uzimaji wa mtandao kama silaha ya kisiasa.

Kiufupi sisi watanganyika ni wajinga,ni lazima tuhakikishe Samuya hamalizi miaka mitano
 
Kwa namna hii, mashirika ya kiuwekezaji Tanzania, hayawezi kudai fidia kutokana kadhia hii ambayo ni ya kujitakia?
 
Back
Top Bottom