Mzalendo-Tz
Member
- Apr 19, 2017
- 81
- 33
Wanajavi la siasa naomba kujua kuhusu sheria inasemaje mbunge asipotumikia jimbo lake takribani mwaka.
Maana tunaona Lissu anaumwa na hatumikii jimbo lake kwa muda sasa. Je, ni halali maana naona jimbo lipo wazi na watu wanataka kutumikiwa.
majibu plz na kama haikuhusu pita kushotoo
Maana tunaona Lissu anaumwa na hatumikii jimbo lake kwa muda sasa. Je, ni halali maana naona jimbo lipo wazi na watu wanataka kutumikiwa.
majibu plz na kama haikuhusu pita kushotoo