Wataalam wa ndoto naombe msaada

Wataalam wa ndoto naombe msaada

Jifunze kumwachia Mungu. Alisema nira yake ni rahisi na mzigo wake ni mwepesi. If you learn to trust Him then you will never be worried about things like dreams.

Peace be with you.
 
Wataalam kuna ndoto tata nimeota kwamba kuna mdogo wangu kafarik..asubui napigiwa simu na dada yangu kwamba kaota mimi na dada yetu mwingine tumefarik..tukamjulisha mama mzaz naye kasema ameota mtoto wa kaka yetu kafarik..Wote tumebak na kitendawili hatujui nini maana ya hizi ndoto...

Harusi zipo njiani.

Hiyo ID yako inamaanisha nini?
 
Mmmh hii labda MziziMkavu anaweza sema kitu...sisi walokole hatuamini ktk ndoto

Tatizo lenu mnaojiita walokole mlio wengi ni vilaza, na ulokole lazima upate matatizo ya kisaikojia kwanza, ili uondokane nayo unaokoka, ndoto zinatumika sana kama maongozi ya Mungu kwa mwanadamu, Soma habari za yusufu Mwana Wa Yakobo Mwanzo 37:1-9, Soma Ndoto Ya Yusufu Mume Wa B. Maria Math 1:18-25. Siyo lazima kila mada uchangie.
 
Last edited by a moderator:
hatua kama zipi kiongoz wangu..

Simple,if u a christian, ni kuomba toba/rehema then kukataa na kukemea huku ukisimamia maandiko,mfano
Hili andiko nimesahau exactly lipo kitabu gani linasema, 'sintakufa Bali nitaishi 'asema Bwana!
Anaekumbuka hili atuambie lilipo ....

Jana tu nimetoka kuyaona haya@ church usicheze na Lucifer kabisa,ila Mungu kwa rehema zake anatufunulia haya,na nini kinachoendelea kwenye ulimwengu WA roho,the problem is wengi ni wachanga hatuelewi Mungu akiwa anasema na sisi.
 
Tatizo lenu mnaojiita walokole mlio wengi ni vilaza, na ulokole lazima upate matatizo ya kisaikojia kwanza, ili uondokane nayo unaokoka, ndoto zinatumika sana kama maongozi ya Mungu kwa mwanadamu, Soma habari za yusufu Mwana Wa Yakobo Mwanzo 37:1-9, Soma Ndoto Ya Yusufu Mume Wa B. Maria Math 1:18-25. Siyo lazima kila mada uchangie.

Na cha kushangaza hao viongozi wao wa dini wanajiita wapakwa mafuta na pia maaskofu kisa wameoteshwa kumtumikia Mungu.
 
Kwanza mkuu pole sna kwa mashaka na pia naomba nikuambie ndoto ni kitu huwa cha kweli na kama hakijatoa siku za karbuni basi kitatokea baadae na pia nakushauri kama wewe n mwamini Mungu ukiota ndoto mbaya hapo hapo unaposhtuka anza kukemea kwa jina la Yesu kristo aliye hai na kama ni nzuri basi mwombe Mungu atekeleze Mungu huwa anaongea na wewe ukiwa umelala Ndugu yangu na kukuonesha vitu ukiwa umelala
 
Wataalam kuna ndoto tata nimeota kwamba kuna mdogo wangu kafarik..asubui napigiwa simu na dada yangu kwamba kaota mimi na dada yetu mwingine tumefarik..tukamjulisha mama mzaz naye kasema ameota mtoto wa kaka yetu kafarik..Wote tumebak na kitendawili hatujui nini maana ya hizi ndoto...

pole ila Jina lako unalotumia hapa JF pia nichanzo cha ndoto hizo, chukua hatua.

ushauri wangu, mwambie Mungu haja zako YEYE NI MWAMINIFU atakusaidia.
 
Wataalam kuna ndoto tata nimeota kwamba kuna mdogo wangu kafarik..asubui napigiwa simu na dada yangu kwamba kaota mimi na dada yetu mwingine tumefarik..tukamjulisha mama mzaz naye kasema ameota mtoto wa kaka yetu kafarik..Wote tumebak na kitendawili hatujui nini maana ya hizi ndoto...

mkapime malaria
 
nipe kiongoz maaan mpaka saiv naonachenga chenga tu..
Mkuu \NN; habari za mchana...nimekuja ndugu yangu, Nakutaka kwanza uondoe shaka na hofu !! Hiyo ndoto yenu inaashiria kuwa nyie wote kama familia (team) "kuwe lile jambo lenye Utata,Kusemwa, kusemana,mfarakano, kesi au tatizo Litakwisha na kutoweka kabisa"

1. Ndiyo maana ya kufa!!
2. Ndiyo wewe+dada+Mama+kaka

ishini kwa Amani....
 
Mkuu ndo maana nimesema aseme yeye haamini sio walokole.
Walokole tuna amini ktk ndoto, kwasbb Mungu anasema na watu wake kwa nuia tofauti,ikiwemo hii ya ndoto.

hakuna watu wanafiki na wenye roho mbaya kama walokole wa Tanzania.samahani kwa kusema ukweli.
 
Simple,if u a christian, ni kuomba toba/rehema then kukataa na kukemea huku ukisimamia maandiko,mfano
Hili andiko nimesahau exactly lipo kitabu gani linasema, 'sintakufa Bali nitaishi 'asema Bwana!
Anaekumbuka hili atuambie lilipo ....

Jana tu nimetoka kuyaona haya@ church usicheze na Lucifer kabisa,ila Mungu kwa rehema zake anatufunulia haya,na nini kinachoendelea kwenye ulimwengu WA roho,the problem is wengi ni wachanga hatuelewi Mungu akiwa anasema na sisi.

Lipo Ktk ZABURI 118:17
 
hakuna watu wanafiki na wenye roho mbaya kama walokole wa Tanzania.samahani kwa kusema ukweli.

Wala hao unaowasema sio walokole BT wanajiita/wanajifanya walokole!!
BT wanyewe hawana makuu wapo cool, though kibinadamu kumbuka kila mtu ana mapungufu yake !!!
 
Back
Top Bottom