Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 177
Wakuu naomba mnisaidie mi siyo mtaalam sana wa kujua gharama za kuagiza magari na hivyo sizijui vizuri gharama za kununua gari japan had kulifikisha hapa bongo itacost shilingi ngapi, mfano jana nilitembelea website ya beforward nikaona Toyota Funcargo inauzwa dola 887 lakin sijajua gharama zingine had kulifikisha bongo pamoja na ushuru wa bandari itacost shs ngapi?
Naombeni msaada wenu wakuu!!!
Naombeni msaada wenu wakuu!!!