Wataalam wa compyuta nisaidieni

Wataalam wa compyuta nisaidieni

Dozier

Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
20
Reaction score
5
laptop yangu ni mpya kabisa ina miezi miwili tu na niliinunua dukani ina kilakitu chake lkn nashangaa saizi nikiiwasha inapowaka display inakuwa ya black and white inachukua kamuda kidogo hadi kurudi kwenye haliyake ya kawaida.nisaidieni
 
Afu matatizo mengine kama haya....
Mi naona dawa yake niku rudisha tu ulikonunua
mana kama pc ilikuwa na weakness toka kiwandani mnunuaji ndo nika itengeneze?
Ndo mana tunapewa warranty
haiwezekani ukae na kitu tumiezi tu afu mtu kikuzingue.... Ukipeleka kwa fundi warranty inakuwa haina thamani tena uliko nunua mala oo pc imefunguliwa na vi sababu kibao.......
Over
 
yap.. kama wadau wengine walivyosema.. kwa vile bado ipo ndani ya warranty usifanye chochote. warudishie dukani. kama hakuna warranty hapo ndio ufanye mautundu..
 
Labda nijaribu kuwarudishia,Niliinunua Dar halafu mimi nipo Singida bado nazidi kuumia kwa garama zisizokuwa na mpango,nashukuru kwa ushauri
 
jitahidi uwahi kabla ya muda wa warranty kuisha
 
Labda nijaribu kuwarudishia,Niliinunua Dar halafu mimi nipo Singida bado nazidi kuumia kwa garama zisizokuwa na mpango,nashukuru kwa ushauri

.
Jitahidi tu uende na kila walichokupa especially risiti.....
.
Mabox hayana umuhimu
.
 
Back
Top Bottom