October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
Wadau wanaojua mambo ya kununua vitu online wanisaidie je hapo bei ya hizi bidhaa ni yepi maana inavyoandikwa kama hivi inanichanganya $500.000-1000.000
Nipeni uchambuzi na je nikiagiza bidhaa kama hiyo itafika TZ na je kutakiwa na kodi yoyote.
Nipeni uchambuzi na je nikiagiza bidhaa kama hiyo itafika TZ na je kutakiwa na kodi yoyote.