Mimba inapoharibika si lazima itoke yote kwa wakati mmoja (complete abortion) bali kuna nyingine hutoka kidogo kidogo na kuna vipisi (tissues) vidogo hubaki ( incomplete abortion) hivyo kuendelea kusababisha damu kutoka pamoja na maumivu ya tumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.