carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,802
Utumbo unapona vizuri tu.... shina ni mishipa ya damu tu ikipitiwa..So ikiingia kwenye utumbo pekee bila kuralua unaweza kupona?
Utumbo unapona vizuri tu.... shina ni mishipa ya damu tu ikipitiwa..So ikiingia kwenye utumbo pekee bila kuralua unaweza kupona?
Ili upone inatakiwa ule mlenda ,risasi itatelezaUtumbo unapona vizuri tu.... shina ni mishipa ya damu tu ikipitiwa..
Hebu jaribu ili utuletee mrejesho...Hivi ukipigwa risasi mbili tu, TUMBONI hivi unapona?
Mpka sasa kuna jambo silielewi![]()
Inategemea na umbali mkuu ambapo tunaita effective range ukipigwa uhakika wa kupona ni mdogo...hebu tuchukulie Bastola kwa mfano. Wajuzi wanasema zinapimwa kwa Kipenyo na Velosity ya risasi yake, zikijulikana hivi:
.28
.38
.45
Kwamba hiyo 28 bi ya chini kabisa na mtu unaweza ukapigwa sehemu hata za kichwa uka-Survive, lakini hiyo 45 ndio baba lao mwisho wa maneno maana hata ukipigwa Moja tu tumboni Unaanza Safari...!
Itategwmea na effective range yaani kila silaja ina umbali ambapo ukipigwa kwa asilimia kubwa inakuua...hebu tuchukulie Bastola kwa mfano. Wajuzi wanasema zinapimwa kwa Kipenyo na Velosity ya risasi yake, zikijulikana hivi:
.28
.38
.45
Kwamba hiyo 28 bi ya chini kabisa na mtu unaweza ukapigwa sehemu hata za kichwa uka-Survive, lakini hiyo 45 ndio baba lao mwisho wa maneno maana hata ukipigwa Moja tu tumboni Unaanza Safari...!
nimecheka kwa sauti kama mazuri vile...!Unaweza kupona kama zisiporarua utumbo na mapupu na kutokeza mgongoni
bunduki moja hivi inaitwa mguu wa kukuSielewi mwanasiasa yule walitumia bunduki gani, sio mchezo mtu kuchomoka mzima
RPG.!?Kuna watu wanapigwa bomu la mkono au RPG na anapona sembuse ya tumbo ayo mambo ya kawaida sana
Mungu hakumpa mwanadamu Utashi,matokeo ya dhambi ni chanzo cha utashi wa mwanadamu.Unaposema ''upendo wa Mungu'' una maana gani? Ina maana anayepigwa na kufariki basi Mungu hana upendo naye? Nadhani huwa tunakosea tunaposema vifo au uzima ni mapenzi ya Mungu. Mungu alitupa akili na utashi ili tuweze kutawala dunia. Alituumba kwa mfano wake. Sasa ikitokea mtu akipigwa risasi tumboni na akapona basi yule atakuwa amepona kwa sababu ile risisa haikuharibu viungo muhimu na damu haikuvuja kwa wingi/aliwahi matibabu.
Kama ulivyoona kwa ashrafu pasha ndivyo hivyohivyo,mtoa mada boya sana kaona ktk azam tv meja jevdet akiisabu hatua,alafu yeye anajifanya kama tukio la lisu acha uzwazwa ile ni picha yakuigiza ujasusi kuna mengi yauongo mengine yakweli
Issue ya Lissu Mungu alitaka kuwaonyesha miujiza watu wasiojulikana,kupona kwa lissu ni muujiza maana alipoteza damu zaidi ya 90%,kitendo cha kupoteza damu nyingi uwe umepigwa kidoleni au kwenye unyayo nacho kupona ni "BAHATISHA NDULUTE".lissu amepigwa risasi tumboni kushuka chini,angepigwa kifuani tungeshamsahau sorry.


Alipona kwa sababu zile risasi azikumfikia direct zilikua zinapiga mlango wa gali yake zinatoboa ndio zina mfikia yeye
Kama zingemfikia direct from the gun risasi moja tu ingemuua palepale maana ingevunja kila kitu na kutokea upande wa pili
Punguza mahaba wewe, upoteze damu asilimia 90 na upone?Issue ya Lissu Mungu alitaka kuwaonyesha miujiza watu wasiojulikana,kupona kwa lissu ni muujiza maana alipoteza damu zaidi ya 90%,kitendo cha kupoteza damu nyingi uwe umepigwa kidoleni au kwenye unyayo nacho kupona ni "BAHATISHA NDULUTE".
Unajua maana ya utashi? Ni nini?Mungu hakumpa mwanadamu Utashi,matokeo ya dhambi ni chanzo cha utashi wa mwanadamu.
Hutaki kujifunza.Unajua maana ya utashi? Ni nini?
Staki kujifunza namna gani wakati nimeuliza? Aulizae ataka kujua yakhe!Hutaki kujifunza.