Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,275
- Thread starter
- #21
Unaposema ''upendo wa Mungu'' una maana gani? Ina maana anayepigwa na kufariki basi Mungu hana upendo naye? Nadhani huwa tunakosea tunaposema vifo au uzima ni mapenzi ya Mungu. Mungu alitupa akili na utashi ili tuweze kutawala dunia. Alituumba kwa mfano wake. Sasa ikitokea mtu akipigwa risasi tumboni na akapona basi yule atakuwa amepona kwa sababu ile risisa haikuharibu viungo muhimu na damu haikuvuja kwa wingi/aliwahi matibabu.Kupona au kufa hutegemea
1:Upendo wa Mungu
2:Eneo likiloshambuliwa madhara kua kiasi.




Ukishapata jibu pia uulize ni namna gani mtu anaweza kupata ajali na akapona!Hivi ukipigwa risasi mbili tu, TUMBONI hivi unapona?
Mpka sasa kuna jambo silielewi![]()
Uwezekano wakufa ni mdogo,utumbo huteleza,ndiyomaana walengaji shabaha hulenga kifuani kuelekea juu,yaani kichwani,hata hivyo inategemeana na aina ya silaha.Hivi ukipigwa risasi mbili tu, TUMBONI hivi unapona?
Mpka sasa kuna jambo silielewi![]()
kuchakaza pia kunahitaji resistance,madhara ya kuchakaza yanapungua kama imepita sehemu laini.Mkuu ni bunduki gani unayoizungumzia? Maana risasi moja huwa inachakaza...
umekurupuka kusoma.Rudi kwenye swali, usikurupuke
Si walisema risasi zingine walitoa Tumboni?![]()