Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,275
Hivi ukipigwa risasi mbili tu, TUMBONI hivi unapona?
Mpka sasa kuna jambo silielewi


Mpka sasa kuna jambo silielewi






Lissu alipigwa risasi 16 na amepona, akwelina alipigwa risasi moja tu kwa bahati mbaya lakini alikufa, sasa tuanzie hapo mjadala, Mungu pia yupoHivi ukipigwa risasi mbili tu, TUMBONI hivi unapona?
Mpka sasa kuna jambo silielewi![]()



lissu amepigwa risasi tumboni kushuka chini,angepigwa kifuani tungeshamsahau sorry.Lissu alipigwa risasi 16 na amepona, akwelina alipigwa risasi moja tu kwa bahati mbaya lakini alikufa, sasa tuanzie hapo mjadala, Mungu pia yupo
mkuu tumboni ni sehemu isiyo na uhakika moja kwa moja,hasa kama risasi haitapita kwenye uti wa mgongo,uwezekano wa kupona ni 75%
balaa ni hapo kifuani kwenda juu.
3. Kuwahishwa hospitaliniKupona au kufa hutegemea
1:Upendo wa Mungu
2:Eneo likiloshambuliwa madhara kua kiasi.


lissu amepigwa risasi tumboni kushuka chini,angepigwa kifuani tungeshamsahau sorry.
3. Kuwahishwa hospitalini
4. Kupewa huduma sahihi
5. Kupewa referal mapema kwa ajili ya matibabu sahihi n.k.
Rudi kwenye swali, usikurupukelissu amepigwa risasi tumboni kushuka chini,angepigwa kifuani tungeshamsahau sorry.
Unaweza kupona kama zisiporarua utumbo na mapupu na kutokeza mgongoniHivi ukipigwa risasi mbili tu, TUMBONI hivi unapona?
Mpka sasa kuna jambo silielewi![]()
Hahahha... Just imenibid nicheke.
Kwanza niseme impact ya risasi kutegemea yafuatayo.
Umbali alipo mpigaji, kuna ambali wa kuua na umbali wa kujeruhi (hapa ukiweka fact kwamba ampiga kichwa au wapi).. Kuna umbali ukiwepo risasi inajeruhi tu. Humu itaingia na aina ya silaha iliyotumika a. Kuna zingina mtutu wake ni mpana hivo risasi kubwa ndio utumika, hivyo huwa na madhara toafuti.
b. Nguvu ya silaha, nguvu zinatofautiana sana kati ya silaha moja na nyingine, usitegemea P90 ikafanana na smg, Gpmg ikafanan na Lmg.
Sasa risasi imetokea nje, yani umelengwa na risasi ikapitiliza kwemye eneo kama tumbo, kifua hiyo ni habari mbaya, maana hizi huwa zinafumua, zina leta uharibifu mkubwa katik tissue za mwili na kupelekea upotevu mkubwa wa damu pia kwa muda mfupi
(only GOD save u hapo)
Unaweza kupona kama zisiporarua utumbo na mapupu na kutokeza mgongoni
Muda wowote kuanzia sekunde na kuendeleaMkuu kifo kinachukua dkk ngapi?
Ndio lakini haingii kama utelezi kwenye kifusiSo ikiingia kwenye utumbo pekee bila kuralua unaweza kupona?


Muda wowote kuanzia sekunde na kuendelea