Katika hali ya kawaida, ndege inapotaka kuruka lazima kuna speed ifikie kwanza ndipo inyanyuke
Chini ya hapo haiwezi kupaa maana haitakuwa na lift ya kutosha. Speed hizi zimegawanyika katika makundi mbalimbali.
Sasa ili ndege iweze kuondoka, lazima itengeneze msukumo wa kutosha/generate thrust. Wakati huu nguvu ya injini huwa juu. Pindi inapokimbia na kupata speed ya kuweza kuanza kunyanyuka, itapanda kwa nguvu ile ile ya injini, na pilot akishaona amegenerate enough lift ndipo hupunguza nguvu ya injini ndipo wewe utahisi kama hali ya ndege kushuka chini kidogo.
Mara nyingi ndege hazifanyi kazi at full power ya injini zinapokuwa hewani.