Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Kwa raha zao!
Apana sijawashangaa hao waswazi, manaake hata nilipokuwa Cairo niliwahi kutembelea The City of the Dead (Cairo Necropolis). Hapo hicho cha Phillipines ni cha mtoto, trust me!Mkuu Askari Kanzu wewe unawashangaa hao wanaokuja mara moja .... kuna wanaoishi kabisa siku zote Makaburini! ... ndio nyumbani kwao!
MziziMkavu