Vijana mliomaliza vyuo kwanini mnavuta bangi?

Red black

JF-Expert Member
Nov 29, 2019
2,399
5,817
Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa.

Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi unywaji wa pombe uliopitiliza, wanavuta bangi,sigara,mirungi... nk

Mimi nashangaa sana halafu unakuta wanacomplain kwamba hamna ajira ili hali wao ni walevi,wavivu wanashindia madawa ya kulevya hususani bangi na kubet.


Nini hasa kinachowafanya kuwa wajinga namna hiyo au uko vyuoni kuna somo la ulevi??

Cc Intelligent businessman Edo kissy Fabian Vitus Usherman
 
Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa.

Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi unywaji wa pombe uliopitiliza, wanavuta bangi,sigara,mirungi... nk

Mimi nashangaa sana halafu unakuta wanacomplain kwamba hamna ajira ili hali wao ni walevi,wavivu wanashindia madawa ya kulevya hususani bangi na kubet.


Nini hasa kinachowafanya kuwa wajinga namna hiyo au uko vyuoni kuna somo la ulevi??

Cc Intelligent businessman Edo kissy Fabian Vitus Usherman
wa2 wenye akili nyingi ndio zao!!!
 
Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa.

Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi unywaji wa pombe uliopitiliza, wanavuta bangi,sigara,mirungi... nk

Mimi nashangaa sana halafu unakuta wanacomplain kwamba hamna ajira ili hali wao ni walevi,wavivu wanashindia madawa ya kulevya hususani bangi na kubet.


Nini hasa kinachowafanya kuwa wajinga namna hiyo au uko vyuoni kuna somo la ulevi??

Cc Intelligent businessman Edo kissy Fabian Vitus Usherman
Wape elim waache pombe kali
 
Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa.

Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi unywaji wa pombe uliopitiliza, wanavuta bangi,sigara,mirungi... nk

Mimi nashangaa sana halafu unakuta wanacomplain kwamba hamna ajira ili hali wao ni walevi,wavivu wanashindia madawa ya kulevya hususani bangi na kubet.


Nini hasa kinachowafanya kuwa wajinga namna hiyo au uko vyuoni kuna somo la ulevi??

Cc Intelligent businessman Edo kissy Fabian Vitus Usherman
Ndugu yangu, wahenga walisema: "Wakati Ukuta" usipigane au usigombane na wakati - utaumia.
Hebu jaribu kutafakari walao kwa dk. 2 -3 aina ya mitindo au maisha walioyopitia vijana wa zamani (ambao sasa ndo Wazee) hadi vijana wa sasa.
Vyuo vilikuwepo tangu zamani enzi hizo hadi sasa na vitaendelea kuwepo. Lakini hili la eti ni "kuenda na Fashion" huja na kupotea lenyewe ila wakati mwingine linakuwa limeacha madhara nyuma. e.g.Kwani hukuona/Hukusikia habari za mtindo wa suruali za Bugaloo, Pekos, Tina bull n.k.? ziko wapi tena leo hii? Zimejifia zenyewe. Majuzi-kati hapa ulizuka uvaaji wa suruali nusu ta** lakini sasa unaanza kupotea taratibu ila zile suruali za Tina bull zimerudi kwa jina lingine.
Vivyo hivyo huo unywaji pombe au Ulevi uliokithiri miongoni mwa vijana wote (sio kwa waliomaliza vyuo tu) unawaumiza sana bila wao kujua ila wanachoona wao ni eti wanaenda na Fashion.
Kwa mantiki hiyo, vyuo vipo na vinaendelea kutoa Taaluma stahiki lakini wanaohitimu vyuoni humo wanavifedhehesha vyuo hivyo hadi kuonekana kana kwamba ndo vinalea na kufundisha utepetevu huo.
 
Back
Top Bottom