Waswahili ni watu walalamishi sana kumbe hata Nyerere ni wao wenyewe walimuomba awe Mwenyekiti wa Tanu

Ndugu JTB, sijui kama ulimsikia Raisi Museveni katika hotuba yake alipokuwa CHATO, alipozungumzia wale watanzani waliokuwa wakipeleka biashara Uganda hata kabla ya Mkoloni kuja kututawala, kuwa walikuwa wakiitwa WAUNGWANA. hao waswahili unaowataja ndio hao hao walokuwa wakichukua hizo biashara kutokea Bagamoyo mapak huko, Na ndio hao hao walioanzisha mfumo wa kugombea uhuru wetu, na ndio hao hao waliojua na kuamua kuwa uhuru wa Tanzania hautaletwa na waswahili peke yao, na ndipo wakafikiria how to get INCLUSIVITY, na wakamua Nyerere anafaa.

Waswahili ama watu wa cost ni wakarimu sana na wapenda amani, hebu angalia the most peaceful cities in Tanzania utaona ni TANGA, DAR (kable ya kiala aina ya watu kuja),Pwani, Lindi, Mtwara, na kote huku ni kwa waswahili.
Umenikusha-Swahili civilization
Ustarabu wa pwani ulivuma baada ya kuwa na mahusiano na wageni kutoka nchi ingine za NNE ambao walikuja kufanya biashara na watu wa pwani
 
Ndugu JTB, sijui kama ulimsikia Raisi Museveni katika hotuba yake alipokuwa CHATO, alipozungumzia wale watanzani waliokuwa wakipeleka biashara Uganda hata kabla ya Mkoloni kuja kututawala, kuwa walikuwa wakiitwa WAUNGWANA. hao waswahili unaowataja ndio hao hao walokuwa wakichukua hizo biashara kutokea Bagamoyo mapak huko, Na ndio hao hao walioanzisha mfumo wa kugombea uhuru wetu, na ndio hao hao waliojua na kuamua kuwa uhuru wa Tanzania hautaletwa na waswahili peke yao, na ndipo wakafikiria how to get INCLUSIVITY, na wakamua Nyerere anafaa.

Waswahili ama watu wa cost ni wakarimu sana na wapenda amani, hebu angalia the most peaceful cities in Tanzania utaona ni TANGA, DAR (kable ya kiala aina ya watu kuja),Pwani, Lindi, Mtwara, na kote huku ni kwa waswahili.
Mfumo upi wa kutafuta Uhuru ulioamzishwa na Waswahili?

Huo mfumo ulliitwaje?

Acha uongo, hakukuwa na mfumo kabla kwasababu kulikuwa na Umwinyi na bara kulikuwa na Machifu

Nyerere ndio aliowaunganisha Watanzania pamoja baada ya kuuwa Umwinyi na Uchifu kwa kila kabila. Hata lugha ya kiswahili alitilia mkazo na kuwaunganisha watu.

Waswahili hawakupenda Elimu Dunia, Walikuwa Wavivu na Wadhaifu, walikuwa Inferior kwa wakoloni.

Ila ni kweli kuwa Waswahili ni Wakarimu.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu JTB, sijui kama ulimsikia Raisi Museveni katika hotuba yake alipokuwa CHATO, alipozungumzia wale watanzani waliokuwa wakipeleka biashara Uganda hata kabla ya Mkoloni kuja kututawala, kuwa walikuwa wakiitwa WAUNGWANA.

Hao waswahili unaowataja ndio hao hao walokuwa wakichukua hizo biashara kutokea Bagamoyo mapak huko, Na ndio hao hao walioanzisha mfumo wa kugombea uhuru wetu, na ndio hao hao waliojua na kuamua kuwa uhuru wa Tanzania hautaletwa na waswahili peke yao, na ndipo wakafikiria how to get INCLUSIVITY, na wakamua Nyerere anafaa.

Waswahili ama watu wa cost ni wakarimu sana na wapenda amani, hebu angalia the most peaceful cities in Tanzania utaona ni TANGA, DAR (kable ya kiala aina ya watu kuja),Pwani, Lindi, Mtwara, na kote huku ni kwa waswahili.
Point
 
Leo nimepata bahati ya kusikiliza makala ya KUTOKA MAKTABA kupitia luninga ya TBC.
Nimemsikiliza vizuri rip Ally Sykes akielezea namna waswahili wa Dsm walivyomuomba mwalimu Nyerere aje asaidie juhudi za kudai uhuru.

Sykes anasema kutokana na uwezo mkubwa aliouonyesha mwalimu Nyerere kimsimamo, usomi, ujasiri na uthubutu hapakuwepo wa kumfikia katika kundi lile la wanamzizima, hivyo ilimlazimu mzee Abdul auteme uenyekiti wa Tanu na kukabidhiwa Nyerere.

Nyerere kutoka bara alituletea uhuru na Magufuli kutoka bara anatuletea maendeleo waswahili wamebarikiwa katika kudumisha demokrasia aka siasa za kuongea.

Jumatatu njema
Maendeleo hayana vyama

cc: Mohamed Said, Fayza Fox wa jf!

Kuwa wao ndio waliomomba kuwa awe Mwenyekiti wa Tanu hilo halina utata na wala haihusiani na malalamiko yao. Malalamiko ya ni kuwa baada ya kuwa Mwenyekiti aliwabadilikia na kuwageuka.
Wengi aliishia kuwatia magerezani
 
Back
Top Bottom