Tafadhali wasukuma mlioko kwenye jamvi hili naomba mniambie maana ya neno "NAHINZA" OR "NAVINZA" sijui linavyotamkwa kama unaweka h au v hapo katikati.Thanx.
Hakuna maneno kama hayo kwa kisukuma mm ni msukuma c wa kubahatisha,na ni mtaalam wa lugha na nimeshiriki mwaka 2002 bujora museum kuandika kamusi ya kisukuma-kiingereza,kama illustrator na mtaalamu,mtafiti wa lugha,hakuna neno kama hilo ktk kisukuma au umekosea kuliandika au ulisikia vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.