Wasukuma ni jamii watu wanaodanganyika kirahisi mno

Wasukuma ni jamii watu wanaodanganyika kirahisi mno

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Wasukuma wana mioyo ya plastic
Wao kila kitu ni " no taabu"

CCM Jana wameenda wakawajaza kwenye malori kama mifugo kwenda kwenye mkutano wa Hangaya

Kwenye malori wamepakia hadi watoto wa shule, watu wamepata ajali na kufa

Hivi hii jamii inashindwa kuhoji binadamu anapanda vip lile Lori chakavu

Kwanini wasiende Kwa matakwa Yao au basi hata kama wanasombwa, wasombwe Kwa mabasi au coaster

Huu ujinga ukiuleta huku Kagera hutawapata watu kwanza watakupiga mawe
1750362981325.jpg
 
Wasukuma wana mioyo ya plastic
Wao kila kitu ni " no taabu"

CCM Jana wameenda wakawajaza kwenye malori kama mifugo kwenda kwenye mkutano wa Hangaya

Kwenye malori wamepakia hadi watoto wa shule, watu wamepata ajali na kufa

Hivi hii jamii inashindwa kuhoji binadamu anapanda vip lile Lori chakavu

Kwanini wasiende Kwa matakwa Yao au basi hata kama wanasombwa, wasombwe Kwa mabasi au coaster

Huu ujinga ukiuleta huku Kagera hutawapata watu kwanza watakupiga maweView attachment 3376270
Wasukuma wa ccm aka ngombe mifugo.
 
Wasukuma wana mioyo ya plastic
Wao kila kitu ni " no taabu"

CCM Jana wameenda wakawajaza kwenye malori kama mifugo kwenda kwenye mkutano wa Hangaya

Kwenye malori wamepakia hadi watoto wa shule, watu wamepata ajali na kufa

Hivi hii jamii inashindwa kuhoji binadamu anapanda vip lile Lori chakavu

Kwanini wasiende Kwa matakwa Yao au basi hata kama wanasombwa, wasombwe Kwa mabasi au coaster

Huu ujinga ukiuleta huku Kagera hutawapata watu kwanza watakupiga maweView attachment 3376270
Kwa akili ya Wasukuma basi hapo usikute wanaona wameikomoa serikali kupanda lori bure kwenda na kurudi.....na kama Bw. dereva alipiga honi kuwashitua watu mtaani ndiyo kabisaaaaa, kawaua hawa jamaa. Utawasikia kwani hukusikia ile honi aliyepiga dereva, basi mimi nilikuwa nimepanda lori lile, dereva aliturusha kweli kwenye mashimo, aisee yule jamaa mshenzi kweli.
 
Hata huku nilipofika nawashangaa Hawa Wahaa wa kigoma kama ni binadamu kamili au chanzo Chao ni kutokq hifadhi ya Gombe, hata huyo mwijaku ana afadhali sana na ukimkuta ni mweupe wa rangi huyo mnaweza ongea mawili matatu lkn yote akabisha
Sasa hao rangi ya Buti la jeshi ndio wale wale Jane Gudo.
 
Wasukuma wana mioyo ya plastic
Wao kila kitu ni " no taabu"

CCM Jana wameenda wakawajaza kwenye malori kama mifugo kwenda kwenye mkutano wa Hangaya

Kwenye malori wamepakia hadi watoto wa shule, watu wamepata ajali na kufa

Hivi hii jamii inashindwa kuhoji binadamu anapanda vip lile Lori chakavu

Kwanini wasiende Kwa matakwa Yao au basi hata kama wanasombwa, wasombwe Kwa mabasi au coaster

Huu ujinga ukiuleta huku Kagera hutawapata watu kwanza watakupiga maweView attachment 3376270
Udhaifu niliouona kwa hii jamii wanajiamini sana kitu kinachopelekea ugumu kujifunza au kufundishika sababu akiona mjomba wake ana watoto 30 na wanaishi tayari inakaa kichwani mwake kuwa ni Jambo rahisi linalowezekana sasa wewe jichanganye umwambie kale kausemi Ka kila mtoto huja na baraka zake ni kamchongo we hakweli anakuona kama hazimo na hujui chochote kuhusu maisha 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Kwa akili ya Wasukuma basi hapo usikute wanaona wameikomoa serikali kupanda lori bure kwenda na kurudi.....na kama Bw. dereva alipiga honi kuwashitua watu mtaani ndiyo kabisaaaaa, kawaua hawa jamaa. Utawasikia kwani hukusikia ile honi aliyepiga dereva, basi mimi nilikuwa nimepanda lori lile, dereva aliturusha kweli kwenye mashimo, aisee yule jamaa mshenzi kweli.
Akili za kitoto hizo Ngosha, njoo tuvue basi Samaki hapa Mwaroni Ziwa Fikitoria
 
Wenzso Dar wanapewa pikipiki wasukuma baiskeli halafu wamekenua mpaka jino la mwishooh.
Baiskeli Ngosha huku sisi kwetu ni Daladala, huko Da-slum si kuna Mwendokasi huku sio usafiri pendwa ni huo Daladala na ukisikia ita Daladala au panda Daladala isifikiri kuna Daladala za kwenda Posta Ngosha ni Baiskeli ya Phoenix ndio Daladala kwa hio kupewa Daladala kwetu ni kitu kikubwa sana kuna maeneo pikipiki haipiti ila Daladala inapita Ngosha si unajua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom