Wasukuma na wafipa ni wachawi

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,706


mchawi wa kisukuma akionyesha fisi mbele ya mchawi mwenzie mfipa anaechekelea......hawa ndio wanaoturudisha nyuma kimaendeleo.......ndio maana ufipani bado giza na sishangai waziri mkuu pinda kuwa na mawazo ya kigarula garula
 
nilikuwa najua fisi anatumiwa na warangi tu.....kumbe ndo tulichobaki nacho wabongo
 
Ha ha ha ha ha..anyways kila kabila na proffesional yake
ndio maana sikushangaa kauli za Pinda za kichawi chawi.......nasikia wachawi wanakula watu......si alitaka watu wafe....
 
Unataka kuolewa na wasukuma??



Msiwe wakali kiivyo wajameni uchawi mbona ni utamaduni wa kabila zetu? Mboni Wachaga wanambiwa ni wezi hawawi wakali! Njie tulieni jivunieni hiyo science yenu ya ugagula!
 


mchawi wa kisukuma akionyesha fisi mbele ya mchawi mwenzie mfipa anaechekelea......hawa ndio wanaoturudisha nyuma kimaendeleo.......ndio maana ufipani bado giza na sishangai waziri mkuu pinda kuwa na mawazo ya kigarula garula

Naogopa BAN..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…