Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?
 
Umejuaje hili?
Tunaomba methodologies uliyotumia kupata hitimisho lako hili ..!!!!!!!!
 
Hakika wasubiri tu wanakuja sasa hiv wapo kunywa chai, vp lkn wew umeoa msukuma??
 
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?

Hivi hatuolewi cku hzi eeeh??
 
Habari mleta mada
awali ya yote napenda kukushukuru kwa kuongea tu bila kuangalia uhalisia wa mambo au jambo jenyewe lilivyo uamuzi wa kuoa ni fursa ya muoaji afanye kipi na kipi asifanye kuna watu wanaoa makabila mengine kwa kuangalia walikotoka labda chuoni na hata mashuleni makanisani na makazini na kila mtu anaoa kadili ya anavyojisikia
nahitimisha uchunguzi wako siyo sahihi kabisa kumbuka kuoa mwanamke wa kabila tofauti kuna changamoto mbalimbali na siyo kama wewe unavyochukulia
jipange upya upya tena
 
dada Lateni
weupe wa mwanamke siyo kitendo cha kumtisha mwanamme kumbuka upendo wa dhati ,mapishi ya kutisha ,upole ,na vitu vingine ni sehemu ya mwanamke aliyekamilika ni vigezo vya kudatisha mtu afanye maamuzi ya kuoa
weupe siyo tatizo lotion zipo za kichina unamnunulia tu anakuwa mweupe kama nini na maisha yanasonga
 
Na pia mtoa mada asisahau wanawake wa makabila mengine wanawasaka sana hao wanaume wa kisukuma , kwa imani kua wanajua kupenda, vifanyio vyao imara, n.k .....

Unalijua hili kwa hakika??
 
Wasukuma kama wagogo tu ukioa atakuja baba mkwe, shangazi, mabinamu na wengine kujaa nyumbani kwako.
 
Na pia mtoa mada asisahau wanawake wa makabila mengine wanawasaka sana hao wanaume wa kisukuma , kwa imani kua wanajua kupenda, vifanyio vyao imara, n.k .....
kumbeeeee,ndo maana kuna watu nawajua ni ving'ang'anizi balaa...basi madada zao wajue kwamba wana competition kubwa plus weupe natural ni kigezo pia
 
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?

wanataka jini za uchapaji kazi uchagani, kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
 
sasa unataka usitembelewe kama hutaki kaishi sayari nyingine
kwa nini tunazaa tunazaa watoto wa kuja kutusaidia kwa baadae nguvu zinapoisha hata shimo la kukuzikia wanachimba inaonekana mkuu kwako wageni ni mwiko
 
Back
Top Bottom