Wassira,Unatania au Unawakejeli !!

Wassira,Unatania au Unawakejeli !!

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Leo akiwa anachukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Bunda amewambia wananchi kuwa wamefhamiria kupambana na umasikini na tatizo la ajira kwa vijana ktk miaka mitano.

Wasira anatania au anawakejeli?
 
Kiuhalisia huyu mzee uwezo wa kufikiri umeisha yaani katika awamu zote za tawala za nchi hii yupo kama kiongozi ameshindwa kuchangia kuondoa umasikini wa watanzania halafu leo hii anasema wakichaguliwa atautokomeza umasikini kwa miaka mitano. kilichonisikitisha ni hao waliokuwa wakimsikiliza pasipo kuchukua hatua yeyote kwani walitakiwa wamtie bakora kwa kuongea ujinga kama huo.
 
Mzee wa koti
 

Attachments

  • 1439834407110.jpg
    1439834407110.jpg
    6.6 KB · Views: 920
Tunatak eanaofikiria kwa nataka miaka 54 bado wanajifikiria kudanganya like kile shame on ccm
 
Kiuhalisia huyu mzee uwezo wa kufikiri umeisha yaani katika awamu zote za tawala za nchi hii yupo kama kiongozi ameshindwa kuchangia kuondoa umasikini wa watanzania halafu leo hii anasema wakichaguliwa atautokomeza umasikini kwa miaka mitano. kilichonisikitisha ni hao waliokuwa wakimsikiliza pasipo kuchukua hatua yeyote kwani walitakiwa wamtie bakora kwa kuongea ujinga kama huo.
Mkuu naluunga mkono. Lakini kama ni bakora alipaswa achapwe siku aliyotangaza nia ya kugombea urais pale aliposema amedhamiria kuondoa kilimo cha jembe la mkono na akiwa rais ataliweka kwenye jumba la makumbusho. Hapo bakora zilipaswa zitembee maana alishindwa vipi japo kuliboresha hilo jembe la mkono angalau litumie batrii za tochi alipokuwa waziri wa kilimo? Licha ya hicho alichokisema kuliweka kwenye jumba la makumbusho....
 
Nilidhani ni pekeyangu nimestushawa na ngonjera za huyu ajuza maana amekausha uso kama vile anacho kisema kina ukweli ndani yake yaan kwakweli hawa jamaa walitakiwa wakose kura hata za wake zao wamechoka sana kifikra eti ajira kwa vijana! Uyu si yule aliye inajisi katiba yetu huyu nitashangaa sana kama wana bunda mkimrudisha uyu ajuza bungeni tena
 
Hivi mbona sisi binadamu hatuna aibu jamani.

Yani mtu anagombea nafasi ya juukabisa katika uongozi wa taifa anashindwa, alafu anashuka chinitena kugombea nafasi za chini yani anang'ang'ana tuuuu bila aibu, hivi akishindwatena kwenye ubunge atajisikiaje.
 
Wana bunda amkeni haiwezekani mtu awadanganye awamu zote tangu uongozi wa mwalimu nyerere mpaka leo mnamkenulia meno.
 
October tunamstaafisha siasa kwa lazima,aliwadanganya babu zetu,baba zetu na anataka kutupiga sound na sisi?mzee kaa pembeni
 
eti anadai kati ya watanzania 100 /28 tu ndiomaskini uyumzee kwer amezeeka mpaka akiliyake
 
Back
Top Bottom